Jemima Jackson
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 748
- 934
UVCCM baada ya kupitia mkaba kifungu kwa kifungu nakujilidhisha tumesikitishwa sana nakitenda cha uzaji wa Bandari zetu kwa mwarabu, tumeamua kuungana na Bavicha na Watanganyika wenzetu kuzidai.Vijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari Maana wapinzani wanapotosha kupitiliza.
ungeandika hivi Vijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la BandariVijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari Maana wapinzani wanapotosha kupitiliza.
Inawezekana hata hujui unachosema wanapotosha, upo tu unataka ukapige kelele, na vile sifa zenu kubwa ni kujua kusoma na kuandika tu, ni shida sana!Vijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari Maana wapinzani wanapotosha kupitiliza.
Akili zenu mbovu sana, maana kila anayewakosoa mnamuona ni mpinzani. Acheni ujinga vijana wa hovyo tafuteni kazi za kujisimamia msitegee ChiChiemu tu.Vijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari Maana wapinzani wanapotosha kupitiliza.
Siyo bandari tu. Uzeni rasilimali na maliasili zote, madini, wake zenu, watoto wenu wa kike na hata wakiume. Waarabu watajuwa la kuwafanya woteVijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari Maana wapinzani wanapotosha kupitiliza.
Ww kijana au mzee??Vijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari Maana wapinzani wanapotosha kupitiliza.
Vijana wa UVCCM kama wewe ambaye anafungua uzi na kuandika mistari mitatu ndio watakuwa na uwezo wa kujibu hoja kweli!!??Vijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari Maana wapinzani wanapotosha kupitiliza.
Comrades tusizubaeAkili zenu mbovu sana, maana kila anayewakosoa mnamuona ni mpinzani. Acheni ujinga vijana wa hovyo tafuteni kazi za kujisimamia msitegee ChiChiemu tu.
Tuchangie kwa hoja siyo matusi. Tuusome kwanza mkataba na tuweke reference za vifungu vya sheria huku tukizingatia kwamba kesi iko mahakamani .Comrades tusijisikie unyonge kwenye hili
HakikaTuchangie kwa hoja siyo matusi. Tuusome kwanza mkataba na tuweke reference za vifungu vya sheria huku tukizingatia kwamba kesi iko mahakamani .
Vijana tukafungue tawi la Wakereketwa hapo hapo BandariniVijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari Maana wapinzani wanapotosha kupitiliza.
Vijana wa CCM ni hazina ya chama....Vijana tukafungue tawi la Wakereketwa hapo hapo Bandarini
Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 Iko wazi, haikuwapa wagombea, Magu na Makamo Sa100 ruhusa kuuza bandari zote za bara Kwa mwarabu,
Haikubaliki kuuza ardhi, watoto wa watoto wetu watakuwa watumwa.
Sa100 must go!!!!