UVCCM tusikae kimya

UVCCM tusikae kimya

Vijana jeuri ya Chama. Tafadhali tusikae kimya katika hili la Bandari Maana wapinzani wanapotosha kupitiliza.
Tatizo hakuna anae waamini na nyie , baadhinya viongozi wenu wanatoa kauli tata na za hivyo, uvccm sasahiv mnaonekana nothing but chawa, hampiki viongozi tena. Mjitafakari
 
Back
Top Bottom