UVCCM wamemtishia nini Anthony Diallo?

UVCCM wamemtishia nini Anthony Diallo?

...wakati alitamka bayana based on past experience
...huenda labda ilikuwa ni future past tense
 
Sisi kazi yetu ni kwenda pale Milembe tukalitafute lile Jarada. Diallo kasema ukweli wasimtishe, kiongozi wa UVCCM kazaliwa Jana, Diallo ni mkongwe umri Sawa na Jiwe, amekaa na jiwe ukanda huo mda mrefu anamjua nje ndani.
Mkuu nami nitakusindikiza huko milembe tukalete hilo file
 
UVCCM WAMEMTISHA DKT. ANTHONY DIALLO NA AMEKUBALI KUTISHIKA!

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa Dkt. Anthony Diallo alizungumza na kutoa maoni yake na ulimwengu umemsikia. Alipokuwa akiongea alionekana kuwa timamu. Alionekana alikuwa na agenda na alionekana alijiiandaa vema kuwasilisha agenda zake kwa umma. Inaonekana hakuna aliyemshawishi kufanya mahojiano yale na Nyanda. Kinyume chake, huenda yeye ndiye aliyeshawishi kufanya mahojiano yale kwa kuwa alikuwa na agenda au kama hakushawishi, basi alikuwa ameridhia bila shinikizo ombi la kufanya mahojiano. Aliongea kwa ufasaha hoja zake na akajibu maswali kwa ufasaha kwa kuwa hakukuwa na shinikizo. Moja ya aliyoyaongea ni pamoja na kusema kuwa huko nyuma waliruhusu mtu mwenye rekodi ya kutibiwa Milembe kuongoza nchi!

Baada ya mahojiano yale, alikaripiwa na kufokewa vilivyo na Kiongozi wa UVCCM. Karipio limemwingia vilivyo na hivyo ameamua kuita Vyombo vya Habari ili kutoa ufafanuzi juu ya alichokuwa amekiongea. Katika ufafanuzi wake ameshindwa kujenga hoja ya kufuta hoja ya mwanzo. Badala yake anasema alikosea alitumia 'Past Tense' badala ya 'Future'! Kwamba hakumaanisha wakati uliopita kuwa waliruhusu mtu mwenye rekodi ya kutibiwa Milembe kuongoza nchi, bali alimaanisha kuwa wakati ujao inaweza kutokea!

Jina la Diallo lina kianzio cha Dkt yaani Daktari. Hatujui kama ni Daktari wa Tiba au Daktari wa Falsafa au Daktari wa Heshima! Kwa vyo vyote vile, mtu mwenye elimu ya aina hiyo hawezi kuchanganya 'Past Tense' na 'Future'! Yaani Dkt. Diallo achanganye 'madesa' kiasi cha kuita wakati ujao uwe wakati uliopita?! Shida iliyopo ni hofu! UVCCM wamemtisha Dkt. Diallo naye akajaa hofu. Matokeo yake akaita Vyombo vya Habari na kuanza kuongea hoja ambazo hakuwa nazo na wala hakujipanga! Dalili za ukosefu wa uhuru wa kutoa maoni ndani ya CCM ndio zinafunuliwa wazi sasa. Hatujui Dkt. Diallo anaogopa kupoteza cheo au heshima ndani ya CCM au anaogopa kufukuzwa!

Hofu ikiingia katika jamii ye yote ile, watu wanakosa ujasiri. Watu wanakuwa sio wakweli kwa nafsi zao. Watu wanalazimika kuongea yale ambayo nafsi zao hazikuwa tayari kuyaongea. Hatari ya kuongoza watu wenye hofu ni kubwa. Lakini hatari ya kuongoza viongozi wenye hofu ni kubwa zaidi. Kama watu wazima kama Dkt. Diallo watafikia hatua ya kutiwa hofu na vijana na kisha kulazimika kusema tofauti na walivyokuwa wamejandaa ni hatari kwa ustawi wa jamii. Hili la Dkt. Diallo na UVCCM sio msiba tu kwa CCM, bali ni msiba kwa Taifa zima. Tunatafakari nini cha kumshauri Dkt. Diallo, lakini itoshe kusema yaliyotokea ni jaribio la kutaka kuzima uhuru wake wa kutoa maoni na yeye mwenyewe amelazimika kuzimika! Hakuna jamii iliyowahi kubadilishwa na wanaozuia maoni na hakuna jamii iliyowahi kubadilishwa na waoga!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Hata kama! Tunachojua sisi ni kuwa kile alichokisema awali kipo sahihi na hatubadili msimamo wetu wa kuamini hilo! Nchi iliongozwa na psychopath, lunatic, kichaa kabisa, tunashukuru kwa kazi ya Mungu iliyotangazwa rasmi March 17 2021 ingawaje mimi binafsi nafahamu alikufa 8days before!
 
Alisema kwamba jamaa alikuwa mwendawazimu
Rais anawaambia wananchi wabaki na mavi yao majumbani mwao wasichafue vyoo vya serikali, mpaka hapo hujaona huyu mwendawazimu tu?
 
UVCCM WAMEMTISHA DKT. ANTHONY DIALLO NA AMEKUBALI KUTISHIKA!

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa Dkt. Anthony Diallo alizungumza na kutoa maoni yake na ulimwengu umemsikia. Alipokuwa akiongea alionekana kuwa timamu. Alionekana alikuwa na agenda na alionekana alijiiandaa vema kuwasilisha agenda zake kwa umma. Inaonekana hakuna aliyemshawishi kufanya mahojiano yale na Nyanda. Kinyume chake, huenda yeye ndiye aliyeshawishi kufanya mahojiano yale kwa kuwa alikuwa na agenda au kama hakushawishi, basi alikuwa ameridhia bila shinikizo ombi la kufanya mahojiano. Aliongea kwa ufasaha hoja zake na akajibu maswali kwa ufasaha kwa kuwa hakukuwa na shinikizo. Moja ya aliyoyaongea ni pamoja na kusema kuwa huko nyuma waliruhusu mtu mwenye rekodi ya kutibiwa Milembe kuongoza nchi!

Baada ya mahojiano yale, alikaripiwa na kufokewa vilivyo na Kiongozi wa UVCCM. Karipio limemwingia vilivyo na hivyo ameamua kuita Vyombo vya Habari ili kutoa ufafanuzi juu ya alichokuwa amekiongea. Katika ufafanuzi wake ameshindwa kujenga hoja ya kufuta hoja ya mwanzo. Badala yake anasema alikosea alitumia 'Past Tense' badala ya 'Future'! Kwamba hakumaanisha wakati uliopita kuwa waliruhusu mtu mwenye rekodi ya kutibiwa Milembe kuongoza nchi, bali alimaanisha kuwa wakati ujao inaweza kutokea!

Jina la Diallo lina kianzio cha Dkt yaani Daktari. Hatujui kama ni Daktari wa Tiba au Daktari wa Falsafa au Daktari wa Heshima! Kwa vyo vyote vile, mtu mwenye elimu ya aina hiyo hawezi kuchanganya 'Past Tense' na 'Future'! Yaani Dkt. Diallo achanganye 'madesa' kiasi cha kuita wakati ujao uwe wakati uliopita?! Shida iliyopo ni hofu! UVCCM wamemtisha Dkt. Diallo naye akajaa hofu. Matokeo yake akaita Vyombo vya Habari na kuanza kuongea hoja ambazo hakuwa nazo na wala hakujipanga! Dalili za ukosefu wa uhuru wa kutoa maoni ndani ya CCM ndio zinafunuliwa wazi sasa. Hatujui Dkt. Diallo anaogopa kupoteza cheo au heshima ndani ya CCM au anaogopa kufukuzwa!

Hofu ikiingia katika jamii ye yote ile, watu wanakosa ujasiri. Watu wanakuwa sio wakweli kwa nafsi zao. Watu wanalazimika kuongea yale ambayo nafsi zao hazikuwa tayari kuyaongea. Hatari ya kuongoza watu wenye hofu ni kubwa. Lakini hatari ya kuongoza viongozi wenye hofu ni kubwa zaidi. Kama watu wazima kama Dkt. Diallo watafikia hatua ya kutiwa hofu na vijana na kisha kulazimika kusema tofauti na walivyokuwa wamejandaa ni hatari kwa ustawi wa jamii. Hili la Dkt. Diallo na UVCCM sio msiba tu kwa CCM, bali ni msiba kwa Taifa zima. Tunatafakari nini cha kumshauri Dkt. Diallo, lakini itoshe kusema yaliyotokea ni jaribio la kutaka kuzima uhuru wake wa kutoa maoni na yeye mwenyewe amelazimika kuzimika! Hakuna jamii iliyowahi kubadilishwa na wanaozuia maoni na hakuna jamii iliyowahi kubadilishwa na waoga!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Mzee Diallo anaogopa kuuliwa maana hawa vichaa wa uvccm ni wauaji
 
Aaahh...wapii..ukimgusaa pjm unanuka ww..jpm kaacha alama kubwaa kwa watz waadilifu..lakin pia kaacha vidondaa vikubwaa sana kwa watz wezi...wapuuzi..wala rushwaa..wenye vyeti fake...na wajinga kama kina BAK
Kaacha pia na alama za mauwaji kwenye mwili wa Lisu
 
Watu wanaongea mengi sana, ila kwa nchi ya kijamaa kama yakwetu hakuna mfanyabiashara mwenye ubavu wa kupambana na CCM akabak salama, lessen ns approval kibao yani......

Nafikiri alisahau CCM ni ile ile... ndio maana wanasema wanataka Katiba mpya sasa nawaelewa sana yani
 
We count on him from now onwards...

........
 
Uzuri maneno ni kama risasi! Hayana rivasi! Keshatoa ukweli wake wa moy, katapika nyongo yote na sasa ana nafuu kubwa. KAJITIBU!

Yajayo yote ni story tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo ni kutapika Nyongo wakati huo huo unataka uendelee kukalia kiti cha enzi ndani ya Chama,hapo ndipo panamgharimu zaidi.

2022 nafasi ya yeye kuchaguliwa ndani ya Chama ndiyo haipo tena,usishangae kumuona sasa hivi anakuwa kituko zaidi kwa kujieleza tena,angekaa kimya tu na kukubali matokeo ya kutapika Nyongo yake.
 
Huyu anaelekea njia ya Membe, watamfukuza làbda Samia apotezee lkn pressure ya wahafidhina sidhani kama atai- resist

Tayari CCM Mkoa wamemwashia moto,safari ya kuelekea kwa Membe ipo wazi kabisa.Utashangaa hata kina JK watamgeuka na hatoamini.
 
Sasa kama ameshasema nchi ilikuwa inaongozwa na kichaa aliyetaka kuihamishia mbuga ya serengeti kijijini kwake anaomba radhi kitu gain wakati watz wote kasoro walinda legacy tumemuelewa
 
Hajatishwa ila kakubali yaishe, ndiyo busara na uungwana...
 
Katafute mafala wa hivyo, huyo Diallo ni mchafu mwenzenu, hivyo mnaweza kumtisha na lazima atishike. Lakini ukweli una tabia moja, hata uukanushe ukiwa uchi haubadiliki. Hivi huyo Diallo anaweza kukanusha alichosema, ila hawezi kubadili ukweli wa alichosema fullstop.

yeye ndiye anajua maana ya alichosema,amekanusha wewe hutaki.

nikisema ungana naye unaona nakuonea.hajatishwa maana magufuli wa kufanya hayo amefariki.
 
nimekuuliza file la mirembe litabadilika?jibu acha upumbavu. wapumbavu ni nyinyi mlioteua mgombea mwehu

na baba yako na mama yako ni wapumbavu pia,maana walimchagua.

shida iko kwako sijui laana umetoa wapi!!
 
yeye ndiye anajua maana ya alichosema,amekanusha wewe hutaki.

nikisema ungana naye unaona nakuonea.hajatishwa maana magufuli wa kufanya hayo amefariki.

Ni sawa na mtu aseme jua linatokea mashariki kwenda magharibi, kisha atishiwe usalama wake aseme hakuaminisha jua linatokea mashariki. Ukweli alishausema, hivi sasa anachofanya ni kuwatuliza msije mkamng'oa kucha fullstop.
 
Back
Top Bottom