UVCCM wamuonya Anthony Diallo

UVCCM wamuonya Anthony Diallo

Taharuki taharuki kila mahali...Kila mtu sasa hivi ni sauti ya nne...
 
ni vema ukajibu nilivyokuuliza

soma katikakati ya mistari...ni daktari anayeweza kuthibitisha fulani ni kichaa... kupitia report ya daktari ndio tunaweza kuthibitisha hilo....umeshawahi kuiona hiyo report ya daktari?.....
 
Wakakimbia alafu kiwanda bora kabisa Afrika cha kufua zahabu kikajengwa, nchi ikaingia uchumi wa kati , mabilionea kama akina Laizer wakaibuka, mapato ya ccm yakatoka million 5 yakafikia billioni 20 kwa mwaka!

Tunamuonya Diallo yeye amekuwa mbunge na waziri kwa miaka 20 lakini hakuna wananchi wanachomkumbuka nacho ni kama tu hajawahi kuwa kiongozi
Basi wewe tutakukumbuka kwa kutuandikia "zahabu" badala ya "dhahabu". Alikuwepo bibi mmoja kwa jina la FaizaFoxy Alikuwa anapenda kuuliza shule ulienda kusomea ujinga?🤣🤣 Nimemkumbuka sana na majibu yake.
 
Wakakimbia alafu kiwanda bora kabisa Afrika cha kufua zahabu kikajengwa, nchi ikaingia uchumi wa kati , mabilionea kama akina Laizer wakaibuka, mapato ya ccm yakatoka million 5 yakafikia billioni 20 kwa mwaka!

Tunamuonya Diallo yeye amekuwa mbunge na waziri kwa miaka 20 lakini hakuna wananchi wanachomkumbuka nacho ni kama tu hajawahi kuwa kiongozi
Miaka yote 20 ya ubunge wake si alikua akipigiwa kura za maoni tena anashinda kwa kishindo inakuaje leo nyinyi watoto wadogo muone hakufanya chochote cha kukumbukwa kweli mbona mnakosa nidham kwa mzee dialo tena akiwa mwenyekiti wa chama mkoa tulizeni masabuli yenu shenzy typ
 
Katibu wa umoja wa vijana wa CCM Khenan Kihongosi amemuonya mwenyekiti wa ccm mkoa wa Mwanza bwana Diallo kuwa aache upotoshaji mara moja, kitendo cha kusema baadhi ya viongozi waliopita walitakiwa kuwa mirembe ni cha kipotoshaji kwani Diallo yupo kwenye vikao vyote vya maamuzi kwani ni mjumbe wa kamati kuu.
===

CCM imelaani kauli ya kubeza viongozi wastaafu iliyotolewa na mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Mwanza, Antony Diallo katika mahojiano aliyofanya na kituo kimoja cha televisheni nchini.

Kauli hiyo imetolewa leo Jumamosi Julai 10, 2021 na katibu mkuu wa umoja wa vijana wa chama hicho (UVCCM), Kenani Kihongosi katika kikao cha majumuisho ya ziara ya kuimarisha chama inayofanywa na sekretarieti ya chama hicho ikiongozwa na katibu mkuu wa CCM, Daniel Chongolo.

Kihongosi amesema kauli iliyotolewa na kiongozi huyo ni msimamo wake mwenyewe na si wa CCM na kwamba jumuiya ya vijana inalaani kauli zinazotolewa na kiongozi huyo kuwabeza viongozi walioitumikia nchi, akitaka wastaafu hao kuachwa wapumzike.

"Tangu leo asubuhi tumeona ujumbe ukisambaa kwenye mitandao ya kijamii ikinukuu kauli iliyotolewa na mmoja na kiongozi ambaye anaingia kwenye vikao vya maamuzi lakini leo ameamua kutoa kauli hii ambayo imetuchukiza sana vijana kwani tulitegemea wawe wa kwanza kutuongoza, " amesema.

Kihongozi amesema kiongozi huyo wa CCM ambaye ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa amenukuliwa akisema viongozi wengine wanaoteuliwa na CCM wanapaswa kuwa hospitali ya magonjwa ya akili ya Mirembe iliyopo mkoani Dodoma.

MWANANCHI
Sasa huyu vyeti feki anafanya nini kwenye safu ya juu ya viongozi wa ccm. Ni mjinga na fisadi mkubwa. Ni masalia ya wale viongozi fisadi waliyokua wamemiliki ccm enzi za awamu ya nne. Hata huo uenyekiti wa ccm wa mkoa anashikilia tu kwa jinsi alivyonunua wajumbe.
 
Wakakimbia alafu kiwanda bora kabisa Afrika cha kufua zahabu kikajengwa, nchi ikaingia uchumi wa kati , mabilionea kama akina Laizer wakaibuka, mapato ya ccm yakatoka million 5 yakafikia billioni 20 kwa mwaka!

Tunamuonya Diallo yeye amekuwa mbunge na waziri kwa miaka 20 lakini hakuna wananchi wanachomkumbuka nacho ni kama tu hajawahi kuwa kiongozi
Timu magufuli mareheme mmeshikwa kunako na mwana ccm mkongwe zaid ya marehemu na ninyi mikia yake. Kama alikuwa hafai ni hafai tu wala sio siri hatuwezi kuitukuza maiti iliyo litesa taifa kwa miaka mitano
 
Sasa huyu vyeti feki anafanya nini kwenye safu ya juu ya viongozi wa ccm. Ni mjinga na fisadi mkubwa. Ni masalia ya wale viongozi fisadi waliyokua wamemiliki ccm enzi za awamu ya nne. Hata huo uenyekiti wa ccm wa mkoa anashikilia tu kwa jinsi alivyonunua wajumbe.
Timu marehemu 😈😈
 
Back
Top Bottom