UVCCM yalaani Vikali Mauaji ya Michael Kalinga Mohammed Kawaida kwenda Mkoani Mbeya Kushiriki Mazishi yake hapo kesho

UVCCM yalaani Vikali Mauaji ya Michael Kalinga Mohammed Kawaida kwenda Mkoani Mbeya Kushiriki Mazishi yake hapo kesho

Tuviachie vyombo vyetu vya dola viendelee kufanya uchunguzi wa kina na sisi tuendelee kuvipatia ushirikiano
Vyombo vya dola vinajua kinachofanyika na vyenyewe ni sehem ya mpangokazi!

Vingekua sio sehem ya mpangokazi huo hadi leo wangeshakamata wahusika wa hizo operation!

Kifupi ninkwamba makamanda wa polisi wote wanajua Nini kinaendelea na inawezekana na Mama anajua lakini hana la kufanya coz hawezi kuingilia mambo ya usalama wa nchi,kwenye maswala ya usalama yeye huongozwa tu!
 
Matukio kama haya kunguni wa mama Abdul hamkemei mbona?

Mmeona watu wanavyotekwa na kuuwawa?

Hapo mtu anavamiwa na askari kama vibaka ofisi kwake walipomkosa wakachukua gari yake.

Sasa ulivyokuwa unasema matukio kama haya yaunganishe watu sijui ulimaanisha kunguni wenzio au watu wenye akili zao timamu.
IMG_20241205_201930.jpg
 
Back
Top Bottom