Elections 2015 UVCCM yamvaa LOWASSA, yakerwa na kauli zake za kutetea wabakaji, wamshangaa SUMAYE

Hivi uvcmm bado ni umoja wa vijakazi vya ccm au siku hizi wamebadilishiwa kitengo...??

Tumeona matunda yao kama akina Makonda, Nape, et al... vijakazi waliotayari hata kulamba viatu vya akina kikwete na familia zao...!
Wataalamu wa kupaza sauti na kujipendekeza...!!
 

Ntachagua mabadiliko, no matter what Mkuu
 

Mkuu hotuba aliimalizia usiku kuanzia saa tatu kupitia television . ITV
 
Hawakubaka wale ni mzee wa kaya alipigiea mashine yake akajenga bifu
 
kumbe yanawaingia ccm,mnalalamika nin ninyi?kwan ninyi wapinzan au?mi mtanzania najua haki yangu ya kupiga kura na najua nani nitampa.
 
Kweli uvccm mnakurupushwa na kupelekeshwa kama taka wakati wa mafuriko. Mnasikitisha na kushangaza zana kwa tathmini mliyofanya kuhusu gharika ya jana. Niwaulize swali dogo tu, ni mwalimu gani aliyekufundisheni ku-evaluate jambo zito kama la jana na kulitolea majibu dhaifu kiasi hiki? Au lengo la kikao chenu kilikuwa kupiga sitting allowance kama ilivyo ada?
Na kwanini mnatisha raia kuwa wakifanya mabadiliko yatakuwa kama yale ya Libya ilihali kuna nchi kama Kenya, Malawi, Tunisia na Zambia zimebadili mifumo yao kwa amani tu?
Nina shaka kubwa kama ccm imejiandaa kukabidhi nchi kwa amani bila vurugu kwani mmeanza kujitangaza mapema kwa kuiona Libya tu na nchi nyinginezo kama Nigeria ya juzi.
Lowasa yupo vizuri kwani hahitaji kuwaimbia wananchi ngonjera za kujenga barabara zisizokwisha kila mwaka na kupasha viporo vya mwaka 2005 na 2010 ambavyo mnaviamsha kana kwamba hakuna vipaumbele vingine.
Hivi wewe mwenyekiti wa uvccm na Lowasa ni nani mwenye kuijua hii nchi ndani- nje na mwenye siri nyingi na nzito kati yenu? Alivyovisema jana anavimaanisha na si porojo na vitisho vyenu vya Libya. Jiandaeni kuwa wapinzani safari hii kwani mnachosha kama andiko lako linavyochusha.:blah: :blabla:
 
Mwaka huu ukawa kazi wanayo, Eti wanadhani kuweka mamluki ndo watatushinda Hahahahaha ccm sio chama cha mchezo
 
Uvccm ni wanafunzi wa darasa la ngapi.. mbona wanauongo wa watoto wa chekechea? Hivi hawajui kuwa watu wanaangalia tv na clips zinaweza kurushwa watu waone mgombea kaongea nini.. duh siasa za enzi zile za simu za mezani zimepitwa na wakati..tuliona na tumesikia..la babu seya wananchi ndo waliopaza sauti zao na yeye akasema ataliangalia katika utawala bora..kama watu wengi wanaamini Babu seya yuko jela kwa ajili ya manufaa binafsi ya baba rithiwani hamuoni ni haki ya wananchi kutaka kuujua ukweli..mlitaka awaambie wananchi sitolishughulikia mpate cha kusema...ikiwa itagundulika kwa jicho la tatu kuwa kweli alibaka hamuoni itasaidia kumsafisha baba rithiwani kwa tuhuma hiyo nzito na ya kisasi inayomhusu?kumleta balali kuna tatizo gani watanzania wanataka mtuhumiwa wao awe yuko hai au amekufa ..kama amekufa tutahitaji mabaki yake na juu ya kaburi tufunge pingu..tuache kujitoa ufahamu kwa siasa za 1920
 

Tulieni dawa iingie magamba mbona mnaweweseka sn?! tulieni tulieni biziness ndo inaanza...
 
Lowassa ndie aliye muweka mwenyekiti wenu madarakani,na sumaye jana alifunguka,sasa nyie endeleeni kumchafua
 
UVCCM ni genge la kihuni kabisa, kuwahi kutokea Nchini. Hawa ni vijana wanaotumika kama silaha ya Muovu shetani.

Ni mangapi mabaya yanayowatokea wananchi, wao wanakaa kimya? Iweje hili la BABU SEYA liwaume hivi?

LOWASSA akiwa Rais hii kesi ya akina BABU SEYA itapitiwa upya! Kama haki haikutendeka wataachiwa huru!! Kwa hili jiandaeni kisaikolojia!

Mwaka huu ni mwaka wa mabadiliko, na bahati mbaya sana mabadiliko ya mwaka huu hayazuliki hata mkiiba kura!

CCM lazima iondoke!!!!!
 
Jina UKAWA likitajwa popote hata malaika huko mbinguni wanaimba na kucheza!!
 
CCM tutashinda asubuh

Asubuhi ya OCTOBER 25, ni moja ya asubuhi mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa CCM. Ndiyo siku ambayo CCM inaondoka!

Siku hiyo ndiyo siku ambayo watanzania wanaifananisha na Desemba, 9, 1961 siku tuliyopata UHURU kutoka kwa

mkoloni mweupe, sasa mwaka huu tunapata UHURU wa kiuchumi, kisiasa, na kijamii kutoka kwa mkoloni mweusi CCM.

Hakuna namna tena, tumenyanyaswa vya kutosha, tumeonewa vya kutosha, na tumedhalilishwa vya kutosha na hawa wakoloni weusi!

Sote kwa kauli moja tunasema BAAAAAAAAAAAAAAAASI!!!!!!

CCM should step down...!!!
 
Mimi na marafiki zangu wa karibu sana tutapigia kura upinzani na Lowasa sio kwa sababu wana uwezo wa kumaliza kero za Watanzania bali tunataka CCM itambue kuwa TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA.
 
Billions of bilious blue blistering barnacles!
 
Mjingaa aliandika mada ndefuuuu Maninnner salsa sema tena boya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…