Unaonekana we ni wa mlengwa gani, ni msoga gangSasa kama unaamini hayati alikuwa na nguvu hiyo ya kumfanya jk asiwe na furaha iweje tena mnadai kuna hujuma alifanyiwa?
Hayati alikuwa mbish sana kwenye mambo ya kisayansi hilo ndo lilimponza tuache kusingizia watu.
Pathetic!Nilikuona uko smart ,lak
Vip ulishamaliza dose mirembe hospital??
Unaonekana we ni wa mlengwa gani, ni msoga gang
Kama hoja yako ina mashiko au ukweli wowote basi John Momose Cheyo angekuwa Rais.Wewe taahira hujui kua kanda ya ziwa ina determinr urais wa nchi hii?
Usiwe unajiamdikia tu uonekane unaandika uharo humu.
Wanakonda sana utadhani Mzee wa watu kajipangia umri wa kuishi duniani.Jitihada zenu za jumchafua mzee wa watu (kikwete) zitapotea km moshi angani na mtakuwa wa kwanza kuaibika kama walivyoaibika na kumalizika wengine huku yeye akiachwa anaendelea na maisha yake na tabasamu tele usoni!! Mashefani wakubwa nyie
piga hao.....walitusumbua, alafu yule bashite malyangili aliyejilimbikizia mali za kukaba na mivyeti feki ya makonda yukwapi?Asante kunisaidia kuwajibu hao sukuma Gang,..kipindi cha mwenda zake walijiona wenyewe ndo vijeba😂😂😂
Wewe shangilia wenzako wanakula keki ya taifa wamejifungia, alaf wewe unakula vumbi, huu ndio ujinga wa mtanzania, kwa akili zake anaona anakomoa kundi Fulani,kama vifulushi tunateseka ote, hio ndio akili ya mtanzaniapiga hao.....walitusumbua, alafu yule bashite malyangili aliyejilimbikizia mali za kukaba na mivyeti feki ya makonda yukwapi?
Unajua effect yoyote itakayo tokea kutokana na expression ya spike protein gene on human cell??,ukinijibu hii kitu nitaprove kama hakufata ushauri wa kisayansiSasa kama unaamini hayati alikuwa na nguvu hiyo ya kumfanya jk asiwe na furaha iweje tena mnadai kuna hujuma alifanyiwa?
Hayati alikuwa mbish sana kwenye mambo ya kisayansi hilo ndo lilimponza tuache kusingizia watu.
shauri tuwafanya nini?Wewe shangilia wenzako wanakula keki ya taifa wamejifungia, alaf wewe unakula vumbi, huu ndio ujinga wa mtanzania, kwa akili zake anaona anakomoa kundi Fulani,kama vifulushi tunateseka ote, hio ndio akili ya mtanzania
wanakera sana hawa na frustrations zao!Wanakonda sana utadhani Mzee wa watu kajipangia umri wa kuishi duniani.
Roho yake isiyo na mafundofundo na maukabila sijui Mavisasi nasiri ya umri wake plus tabassam throughout
Wewe akili huna. Watu gani wa mara hawapelekeshwi?Kama hoja yako ina mashiko au ukweli wowote basi John Momose Cheyo angekuwa Rais.
Mimi natoka kanda ya ziwa, usije ukajiaminisha usukumani ndio tafsiri ya kanda ya ziwa, tupo watu wa Mara hatupelekeshwi na washamba wa kisukuma, na hata hapo Mwanza matajiri walioikamata Mwanza ni kutoka Mara na siyo wasukuma.
Huwa tunawachora tu mnavyogeneralise hili neno kanda ya ziwa kana kwamba kanda yote ya ziwa ni wajinga watupu wa kisukuma.
Ambaye haongelewi vizuri na watu wa Kanda ya ziwa kwa hilo tukio unalosema ni la 17 march 2021 ni nani , Kikwete au Samia , na Kwanini ?Kuna hatari fulani nimeanza kuiona, kuna maneno fulani nimeanza kuyasikia na kuna Mipango fulani ya kukomoana na kuhujumiana ndani kwa ndani nimeanza kuisikia pia.
Mimi sina uhakika kuwa kwa sasa Rais Samia ni TV Screen tu ila Rais Mstaafu Kikwete ndiye Remote Control kama watu wasemavyo, ila kama hili lina Ukweli basi kuna Hatari moja Kubwa ndani ya CCM na Serikali naiona inaenda kuja (kutokea)
Na wewe Rais Mstaafu Kikwete kama ni kweli una Ushawishi mkubwa katika Utawala huu wa Rais Samia tafadhali jishtukie upesi, kaa mbali nae na mwachie Mama nae atengeneze Legacy yake kwa huongelewi vyema na Watu wa Kanda ya Ziwa hasa baada ya Tukio Kubwa nchini la tarehe 17 Machi, 2021.
Kuna Taa Nyekundu ninaiona mahala!
Inaonekana hiyo statement ndo umetoka kukaririshwa sasa imekuwa tabu kila comment unaishi nayo.Unajua effect yoyote itakayo tokea kutokana na expression ya spike protein gene on human cell??,ukinijibu hii kitu nitaprove kama hakufata ushauri wa kisayansi
Ndio ujuwe humu kuna robot zinakuwa ziko programed.Inaonekana hiyo statement ndo umetoka kukaririshwa sasa imekuwa tabu kila comment unaishi nayo.
Pia sina muda sana wakkujibizana na watu dizaini yako maana kazi ni nyingi za kufanya hatushindi humu kama ilivyo kwako mkuu.
Sasa kama unaamini hayati alikuwa na nguvu hiyo ya kumfanya jk asiwe na furaha iweje tena mnadai kuna hujuma alifanyiwa?
Hayati alikuwa mbish sana kwenye mambo ya kisayansi hilo ndo lilimponza tuache kusingizia watu.
Mkuu jana nilizinyaka kuwa kanda ya ziwa imeanza kuungana kufanya jambo zito hata siwezi kutamkaKuna hatari fulani nimeanza kuiona, kuna maneno fulani nimeanza kuyasikia na kuna Mipango fulani ya kukomoana na kuhujumiana ndani kwa ndani nimeanza kuisikia pia.
Mimi sina uhakika kuwa kwa sasa Rais Samia ni TV Screen tu ila Rais Mstaafu Kikwete ndiye Remote Control kama watu wasemavyo, ila kama hili lina Ukweli basi kuna Hatari moja Kubwa ndani ya CCM na Serikali naiona inaenda kuja (kutokea)
Na wewe Rais Mstaafu Kikwete kama ni kweli una Ushawishi mkubwa katika Utawala huu wa Rais Samia tafadhali jishtukie upesi, kaa mbali nae na mwachie Mama nae atengeneze Legacy yake kwa huongelewi vyema na Watu wa Kanda ya Ziwa hasa baada ya Tukio Kubwa nchini la tarehe 17 Machi, 2021.
Kuna Taa Nyekundu ninaiona mahala!
hahaha duuuNdio ujuwe humu kuna robot zinakuwa ziko programed.
wanataka wamuue nani kati ya maushungi na Mr smile?au wote??Mkuu jana nilizinyaka kuwa kanda ya ziwa imeanza kuungana kufanya jambo zito hata siwezi kutamka