Tangu lini Diamond amemuona anafanya press conference anazungumzia mahusiano yake?Diamond hata ajitetee vipi. ukweli nikwamba ni Muharibifu kama walivyo wengine tu ,..yaan wanawake wote hao alikua nao..alowazalisha, hajapatikana hata wife material mmoja??
Kabisaa anataka capitalise hali ya mambo ilivyo ili kupush biashara, kama ambavyo Ali Kiba alivyoweka watu na hamu kusikia na kuona press conference ya kile alichokiita,"TAMKO RASMI" baada ya trending story ya kumjibu Diamond, watu wakadhani ni tamko dhidi ya Diamond kumbe ni music tour yake, "ALI KIBA UNFORGETTABLE TOUR".
Mambo WEMA?..Atajua yeye hayanihusu me, kwani wakati wanatongozana waliita press mxieeeeeeeeeeeeeeew
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndomaana
Diamond amepost kwenye page yake ya Instagram kuwa ataongea na waandishi wa habari kesho huku kukiwa na uvumi wa utata kwenye mahusiano yake.
Inasemeka kuwa Diomond na Tanasha wapo kwenye mgogoro mzito na ikidaiwa kuwa penzi lao limefika mwisho. Je, ndicho kitu ambacho Diamond anataka kukizungumzia kesho kwa waandishi wa habari?
Jambo hilo bado limewaacha watu wengi na maswali kama ni kweli wameachana au ni uvumi wa watu, naamini kesho watapata majibu juu ya utata uliopo kwenye mahusiano ya wazazi wenza hawa.
Jamaa hayuko kwenye hayo mambo labda kwenye aspect nyingine
Hivi anatumia?
Mbona kama hayo ni mambo binafsi na hayatuhusu kabisa.
Hivi "ALI KIBA UNFORGETTABLE TOUR" iliishia wapi?!Kabisaa anataka capitalise hali ya mambo ilivyo ili kupush biashara, kama ambavyo Ali Kiba alivyoweka watu na hamu kusikia na kuona press conference ya kile alichokiita,"TAMKO RASMI" baada ya trending story ya kumjibu Diamond, watu wakadhani ni tamko dhidi ya Diamond kumbe ni music tour yake, "ALI KIBA UNFORGETTABLE TOUR".
Poaaaaah juma lokole, [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mambo WEMA?..
Ilishasahaulika imekuwa, "forgettable tour".Hivi "ALI KIBA UNFORGETTABLE TOUR" iliishia wapi?!