uvumilivu...

Kukua nimeshakua sema kuoa ndio bado.

dogo kukua haimaanish kubalehe bali ni kukua kiakili, yaani kuwa na uwezo mpana wa kupambanua mambo na kukubali majukumu ya kibaba. hapo bado hujafika aisee your avatar can tell. however kama huna miaka 23 basi unayo 22 ndo maana nikasema hivyo. so sijakunder estimate age wise kama ulivyodhani.
 

Dah! haya bwana mie dogo. But what if you are wrong?
 
khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! no comment! speechless!
 

dah..nimekosa cha kuchagia hapa....
duh....


ningekuwa na moyo au roho kama ya kwako ningefurahi sana, ila mimi uvumilivu zero kabisa kila nikijatahidi nashindwa
sijuhi nifanyaje?

Hongera gfsonwin maneno yameniishia.

Hapo kwa red pamenigusa sana dada gfsonwin, hadi mwili umenisisimka! but in a positive way




khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! no comment! speechless!

Ngumu kumesa hii makitu? Ngoja nikwende kumtafutaga Shigongo mie.....

:car:
 

sawa kabisa mkuu
 

Hapo kwa red pamenigusa sana dada gfsonwin, hadi mwili umenisisimka! but in a positive way
Hata mie pamenigusa, ila hapo kwa blue ndo pamenigusa saidi na saidi na saiiiiii, saidi kweli babaangu.
:ranger:
 
Yaaaaani babu umezeeka vibaya hivyo
Unatusahau wajuu wa kale....

Haya babu mi ngoja nikalie kwenye kona
imeniuma sana πŸ™
Hapa ishu si kukaa pembeni, ishu ni kuwa unajua kabisa mkongojo ulonletea umepinda, ugoro umeniishia hivi nlivomwambia mama yako akuzae nlikosea?
 
Hapa ishu si kukaa pembeni, ishu ni kuwa unajua kabisa mkongojo ulonletea umepinda, ugoro umeniishia hivi nlivomwambia mama yako akuzae nlikosea?
We si ulinifukuza eti nnlikuletea ugoro
umeloa Mara mkongojo umepinda Mara
hunitaki unawajuu wapya na umesha wakagua
..... Mi bado na wivu na ninaondoka zangu ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…