Uvunjaji wa sheria barabarani, with impunity!

Uvunjaji wa sheria barabarani, with impunity!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
20210708_074346.jpg
20210708_074401.jpg

Hii ndio jeuri ya serikali siku hizi!
 
Barabarani huko nako je? Sheria ipi wanayofuata? Ni kuheshimu zebra crossing au ni kwenye speed limits? Vipi ajali zao?

Wanachangia ajali ngapi?
 
Labda huyo Dreva hajui maana ya hicho kibao nini?

Ila hata hivyo % kubwa ya madereva wa magari ya Serikali wana viburi sana wanajiona wao ndio wao.
 
Labda huyo Dreva hajui maana ya hicho kibao nini?

Ila hata hivyo % kubwa ya madereva wa magari ya Serikali wana viburi sana wanajiona wao ndio wao.
Unashangaa hlo dogo Tu hushangai wakipita.

Rongside bila hata kujali wanaweka watu kwenye folen na hakuna kokote wanakokimbilia
 
Labda huyo Dreva hajui maana ya hicho kibao nini?

Ila hata hivyo % kubwa ya madereva wa magari ya Serikali wana viburi sana wanajiona wao ndio wao.
Hili limeshakuwa tatizo sugu barabarani.
 
Back
Top Bottom