Jidu La Mabambasi JF-Expert Member Joined Oct 20, 2014 Posts 16,419 Reaction score 26,594 Jul 8, 2021 #1 Hii ndio jeuri ya serikali siku hizi!
B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Jul 8, 2021 #2 Barabarani huko nako je? Sheria ipi wanayofuata? Ni kuheshimu zebra crossing au ni kwenye speed limits? Vipi ajali zao? Wanachangia ajali ngapi?
Barabarani huko nako je? Sheria ipi wanayofuata? Ni kuheshimu zebra crossing au ni kwenye speed limits? Vipi ajali zao? Wanachangia ajali ngapi?
evangelical JF-Expert Member Joined Nov 21, 2011 Posts 5,035 Reaction score 8,218 Jul 8, 2021 #3 Labda huyo Dreva hajui maana ya hicho kibao nini? Ila hata hivyo % kubwa ya madereva wa magari ya Serikali wana viburi sana wanajiona wao ndio wao.
Labda huyo Dreva hajui maana ya hicho kibao nini? Ila hata hivyo % kubwa ya madereva wa magari ya Serikali wana viburi sana wanajiona wao ndio wao.
usser JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 13,956 Reaction score 14,032 Jul 8, 2021 #4 mnengene said: Labda huyo Dreva hajui maana ya hicho kibao nini? Ila hata hivyo % kubwa ya madereva wa magari ya Serikali wana viburi sana wanajiona wao ndio wao. Click to expand... Unashangaa hlo dogo Tu hushangai wakipita. Rongside bila hata kujali wanaweka watu kwenye folen na hakuna kokote wanakokimbilia
mnengene said: Labda huyo Dreva hajui maana ya hicho kibao nini? Ila hata hivyo % kubwa ya madereva wa magari ya Serikali wana viburi sana wanajiona wao ndio wao. Click to expand... Unashangaa hlo dogo Tu hushangai wakipita. Rongside bila hata kujali wanaweka watu kwenye folen na hakuna kokote wanakokimbilia
Jidu La Mabambasi JF-Expert Member Joined Oct 20, 2014 Posts 16,419 Reaction score 26,594 Jul 8, 2021 Thread starter #5 mnengene said: Labda huyo Dreva hajui maana ya hicho kibao nini? Ila hata hivyo % kubwa ya madereva wa magari ya Serikali wana viburi sana wanajiona wao ndio wao. Click to expand... Hili limeshakuwa tatizo sugu barabarani.
mnengene said: Labda huyo Dreva hajui maana ya hicho kibao nini? Ila hata hivyo % kubwa ya madereva wa magari ya Serikali wana viburi sana wanajiona wao ndio wao. Click to expand... Hili limeshakuwa tatizo sugu barabarani.