sitaki hela
Member
- Oct 10, 2022
- 93
- 117
Kama kichwa kinavyojieleza suala la kuvunja shule ya msingi kwa kisingizio kuwa kujenga shule ya secondari SI SAWA kabisa kwani, na hili tatizo naona linataka kushamiri
Maeneo yapo mengi ya ujenzi, unawakosesha watoto haki zao za msingi kwani mtoto anaenda kuanza mazingira ambayo alikuwa hajayazoea, na ukumbuke eneo hilo bado linahitaji watoto kwani watoto wa eneo husika wanaongezeka,
Mimi nilimuhamisha mwanangu kwenda shule nyingine baada ya shule hiyo kuvunjwa saa na hiyo shule niliyompeleka nayo imefutiwa matokeo
Halmashauri mtafakari hilo suala la uvunjaji wa shule msingi kwa kisingizio shule shikizi, hapa nazungumzia manispaa moja iliyopo Dar es Salaam
Hatupendi shule za msingi ziwe na msongamano wa wanafunzi darasani, unakuta Darasa moja wanafunzi 350😁😁😁,SI haki na wakati sera ya elimu inasisitza Darasa liwe na wanafunzi SI Zaidi ya 45
FIKIRINI,TAFAKARINI, MTOE MAAMUZI
Maeneo yapo mengi ya ujenzi, unawakosesha watoto haki zao za msingi kwani mtoto anaenda kuanza mazingira ambayo alikuwa hajayazoea, na ukumbuke eneo hilo bado linahitaji watoto kwani watoto wa eneo husika wanaongezeka,
Mimi nilimuhamisha mwanangu kwenda shule nyingine baada ya shule hiyo kuvunjwa saa na hiyo shule niliyompeleka nayo imefutiwa matokeo
Halmashauri mtafakari hilo suala la uvunjaji wa shule msingi kwa kisingizio shule shikizi, hapa nazungumzia manispaa moja iliyopo Dar es Salaam
Hatupendi shule za msingi ziwe na msongamano wa wanafunzi darasani, unakuta Darasa moja wanafunzi 350😁😁😁,SI haki na wakati sera ya elimu inasisitza Darasa liwe na wanafunzi SI Zaidi ya 45
FIKIRINI,TAFAKARINI, MTOE MAAMUZI