Fungo N.
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 252
- 43
Mimi ni Mwl Wa sekondari nipo Chalinze,nina Duka dogo la kawaida la nguo na vifaa vingine.Kikubwa kwangu natafuta mtu yeyote ambaye naweza kushirikiana naye kwa makubaliano maalumu kuuza laptops au simu original katika shule mbalimbali za sekondari hapa bagamoyo kama wakala.BIASHARA HII NAWEZA KUIFANYA KWA USTADI MKUBWA na KWA UAMINIFU .Kama kuna mtu ambaye yuko tayari tuwasiliane kupitia 0683081550.