Uwakilishi mpana wa watoto wanaobeba maua kupokea wageni wa kitaifa uzingatiwe

Uwakilishi mpana wa watoto wanaobeba maua kupokea wageni wa kitaifa uzingatiwe

Kama uwakilishi haukuwa mzuri kipindi hicho pia kuna shida tukifanya maboresho awamu hii??

Sikuwahi kabisa Ku pay attention Kwa hao watoto wala kwangu sio issue hata kama watavaa misalaba ..asiwepo hata mmoja alievaa hijab sitakosa usingizi wala kuanzisha thread....wewe why unasumbuka na vitu vidogo hivi...???
 
Back
Top Bottom