HACHOKI TALEMWA
Member
- Mar 4, 2013
- 93
- 9
Mda mrefu uwalimu umeonekana ni wa watu waliofeli mtihani na waliokosa mahali pa kwenda lakini nimefanya utafiti nikaona sekta ya afya ndo inaongoza kwa kuwa na watu wenye 0 na 4 katika mitihan! utafiti wangu ni sahihi au hapo nimejichanganya?