adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Moja kwa moja..
Miaka kadhaa imepita (toka 2016) tuliposikia kuhusu ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu Dodoma unatarajia kuchukua watazamaji 80,000 na miundombinu mingine. Ikiwa kama ushrikiano wa serikali ya JMT na Morocco huku serikali ya Morocco ikiahidi kutoa fungu kusaidia ujenzi huo
Muda umepita sasa bila kupata habari zozote kuhusu maendeleo ya mpango huo ,je kuna hatua zozote gani serikali imepiga katika ujenzi wa uwanja huo na umefikia wapi?
#UziTayari
Miaka kadhaa imepita (toka 2016) tuliposikia kuhusu ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu Dodoma unatarajia kuchukua watazamaji 80,000 na miundombinu mingine. Ikiwa kama ushrikiano wa serikali ya JMT na Morocco huku serikali ya Morocco ikiahidi kutoa fungu kusaidia ujenzi huo
Muda umepita sasa bila kupata habari zozote kuhusu maendeleo ya mpango huo ,je kuna hatua zozote gani serikali imepiga katika ujenzi wa uwanja huo na umefikia wapi?
#UziTayari