Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Wenye uwezo nayo wamefanya nn mpaka sasa hv.?Viongozi wa Tanzania ni ma comedian kumzidi hata Rais wa Ukraine. Wepesi wa kuongea mambo ambayo hawana uwezo nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye uwezo nayo wamefanya nn mpaka sasa hv.?Viongozi wa Tanzania ni ma comedian kumzidi hata Rais wa Ukraine. Wepesi wa kuongea mambo ambayo hawana uwezo nao.
Binafsi hata mimi naona ni matumizi mabaya ya fedha muhimu kutoa muongozo kuhusu fungu alioahidi mfalme wa Morocco limetumika vipi ili kuondoa ukakasi watu kuhisi labda limechikichiwa.Nchi haina madawa
Mishahara ya wafanyakazi icho chini af ww unawaza kiwanja cha mpira ambao ata kombe la Afrika tu limetushinda kushiliki
Utumie mabilion kutengeneza kitu kisicho na faida kwa taifa
Tumelaliwa sana ndugu zangu, razima niwaambie ukweriiiiMoja kwa moja..
Miaka kadhaa imepita (toka 2016) tuliposikia kuhusu ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu Dodoma unatarajia kuchukua watazamaji 80,000 na miundombinu mingine. Ikiwa kama ushrikiano wa serikali ya JMT na Morocco huku serikali ya Morocco ikiahidi kutoa fungu kusaidia ujenzi huo
Muda umepita sasa bila kupata habari zozote kuhusu maendeleo ya mpango huo ,je kuna hatua zozote gani serikali imepiga katika ujenzi wa uwanja huo na umefikia wapi?View attachment 2126959
#UziTayari
sanamu inakusaidiaje kimaisha au inawasaidia nini Watz.JPM sanamu yake inahitajika, mwaka mmoja bado anatajwa midomoni mwa watu.
Watu wana mtaja mpaka Nyerere itakuwa JPMJPM sanamu yake inahitajika, mwaka mmoja bado anatajwa midomoni mwa watu.
Huo ilikuwa ni utapeli na kick za jiwe miongoni mwa maelfu ya utapeli aliotufanyia "Watanzania Wanyonge".