Moja kwa moja..
Miaka kadhaa imepita (toka 2016) tulipo sikia kuhusu ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu Dodoma unatarajia kuchukua watazamaji 80,000 na miundombinu mingine.Ikiwa kama ushrikiano wa serikali ya JMT na Morocco huku serikali ya Morocco ikiahidi kutoa fungu kusaidia ujenzi huo
Muda umepita sasa bila kupata habari zozote kuhusu maendeleo ya mpango huo ,je kuna hatua zozote gani serikali imepiga katika ujenzi wa uwanja huo na umefikia wapi ?View attachment 2126959
#UziTayari
Acha tufanye mambo ya maana, mjengewe viwanja ata michuano ya caf tu hamna huwezo wa kushiriki, hatuwezi kuteketeza mabilioni ya pesa kwenye ujinga.Moja kwa moja..
Miaka kadhaa imepita (toka 2016) tulipo sikia kuhusu ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu Dodoma unatarajia kuchukua watazamaji 80,000 na miundombinu mingine.Ikiwa kama ushrikiano wa serikali ya JMT na Morocco huku serikali ya Morocco ikiahidi kutoa fungu kusaidia ujenzi huo
Muda umepita sasa bila kupata habari zozote kuhusu maendeleo ya mpango huo ,je kuna hatua zozote gani serikali imepiga katika ujenzi wa uwanja huo na umefikia wapi ?View attachment 2126959
#UziTayari
Picha inajieleza, tazama walivyobana mikono, walikubali tu yaishe waondoke🤣Moja kwa moja..
Miaka kadhaa imepita (toka 2016) tuliposikia kuhusu ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu Dodoma unatarajia kuchukua watazamaji 80,000 na miundombinu mingine. Ikiwa kama ushrikiano wa serikali ya JMT na Morocco huku serikali ya Morocco ikiahidi kutoa fungu kusaidia ujenzi huo
Muda umepita sasa bila kupata habari zozote kuhusu maendeleo ya mpango huo ,je kuna hatua zozote gani serikali imepiga katika ujenzi wa uwanja huo na umefikia wapi?View attachment 2126959
#UziTayari
Haukuhusu huo utakuwa mali ya CCM serikali itarudishiwa uwanja wake uliopo.Moja kwa moja..
Miaka kadhaa imepita (toka 2016) tuliposikia kuhusu ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu Dodoma unatarajia kuchukua watazamaji 80,000 na miundombinu mingine. Ikiwa kama ushrikiano wa serikali ya JMT na Morocco huku serikali ya Morocco ikiahidi kutoa fungu kusaidia ujenzi huo
Muda umepita sasa bila kupata habari zozote kuhusu maendeleo ya mpango huo ,je kuna hatua zozote gani serikali imepiga katika ujenzi wa uwanja huo na umefikia wapi?View attachment 2126959
#UziTayari
Hazikuwa pesa zetu, ilikuwa msaada.. Labda ungesema hatuna vipaumbele...Acha tufanye mambo ya maana, mjengewe viwanja ata michuano ya caf tu hamna huwezo wa kushiriki, hatuwezi kuteketeza mabilioni ya pesa kwenye ujinga.
Hatuweza kupoteza pesa kwenye mambo ya kijinga, subiri tumalize mambo yenye tija kwa wananchi.Ahadi ni deni kutekelezwa muhimu
Hizo pesa unazan unapewa na baba yako, hizo pesa za mkopo ni bora tuzielekeze kwenye sgr na bwawa la umeme.Hazikuwa pesa zetu, ilikuwa msaada.. Labda ungesema hatuna vipaumbele...
Imebaki stori tu.Moja kwa moja..
Miaka kadhaa imepita (toka 2016) tuliposikia kuhusu ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu Dodoma unatarajia kuchukua watazamaji 80,000 na miundombinu mingine. Ikiwa kama ushrikiano wa serikali ya JMT na Morocco huku serikali ya Morocco ikiahidi kutoa fungu kusaidia ujenzi huo
Muda umepita sasa bila kupata habari zozote kuhusu maendeleo ya mpango huo ,je kuna hatua zozote gani serikali imepiga katika ujenzi wa uwanja huo na umefikia wapi?View attachment 2126959
#UziTayari
Dah kweli kabsa maana hakuna taarifaMoja kwa moja..
Miaka kadhaa imepita (toka 2016) tuliposikia kuhusu ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu Dodoma unatarajia kuchukua watazamaji 80,000 na miundombinu mingine. Ikiwa kama ushrikiano wa serikali ya JMT na Morocco huku serikali ya Morocco ikiahidi kutoa fungu kusaidia ujenzi huo
Muda umepita sasa bila kupata habari zozote kuhusu maendeleo ya mpango huo ,je kuna hatua zozote gani serikali imepiga katika ujenzi wa uwanja huo na umefikia wapi?View attachment 2126959
#UziTayari