P permanides JF-Expert Member Joined May 18, 2013 Posts 11,682 Reaction score 14,241 Dec 6, 2020 #181 Hazard CFC said: Bahati haikua kwetuu..... ila kwa mugabe linakufa jitu Click to expand... Tuwaombee waingie makundi ili tuone mtu anavyopigwa mtawalia.
Hazard CFC said: Bahati haikua kwetuu..... ila kwa mugabe linakufa jitu Click to expand... Tuwaombee waingie makundi ili tuone mtu anavyopigwa mtawalia.
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 23,566 Reaction score 24,891 Dec 6, 2020 #182 permanides said: Ndio na wewe uache ujinga Click to expand... Haya basi tulianza sisi kuwashangilia TP Mazembe uwanjani, ninyi endeleeni kuwapokea airport, ila msiwe mnawaibia simu zao
permanides said: Ndio na wewe uache ujinga Click to expand... Haya basi tulianza sisi kuwashangilia TP Mazembe uwanjani, ninyi endeleeni kuwapokea airport, ila msiwe mnawaibia simu zao
R rodrick alexander JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 16,784 Reaction score 23,312 Dec 6, 2020 #183 Faru Kabula said: Haya basi tulianza sisi kuwashangilia TP Mazembe uwanjani, ninyi endeleeni kuwapokea airport, ila msiwe mnawaibia simu zao Click to expand... Wanaosema Simba ilianza kushangilia Mazembe ni wale waliozaliwa juzijuzi mechi ya fainali caf yanga ndio walianza kushangilia Stella ya Ivory coast
Faru Kabula said: Haya basi tulianza sisi kuwashangilia TP Mazembe uwanjani, ninyi endeleeni kuwapokea airport, ila msiwe mnawaibia simu zao Click to expand... Wanaosema Simba ilianza kushangilia Mazembe ni wale waliozaliwa juzijuzi mechi ya fainali caf yanga ndio walianza kushangilia Stella ya Ivory coast
P permanides JF-Expert Member Joined May 18, 2013 Posts 11,682 Reaction score 14,241 Dec 6, 2020 #184 rodrick alexander said: Wanaosema Simba ilianza kushangilia Mazembe ni wale waliozaliwa juzijuzi mechi ya fainali caf yanga ndio walianza kushangilia Stella ya Ivory coast Click to expand... Stella ilishangiliwa Afrika nzima. Hakuna anayeweza kuwasahau akina Bolizozo.
rodrick alexander said: Wanaosema Simba ilianza kushangilia Mazembe ni wale waliozaliwa juzijuzi mechi ya fainali caf yanga ndio walianza kushangilia Stella ya Ivory coast Click to expand... Stella ilishangiliwa Afrika nzima. Hakuna anayeweza kuwasahau akina Bolizozo.