Uwanja wa Benjamin Mkapa | Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC Vs Plateau United

Mkifungwa mnijulishe kwa kuni "quote"
 
Awa jamaa awajacheza mashindano yoyote tangu mwezi wa 3 inamaana metch fitness wamepata wakati wanacheza na Simba ii inaonyesha jinsi wenzetu walivyo piga hatua. Ukumbuke Simba ndio wako kwenye ubora wao kabisa.
 
Bahati haikua kwetuu..... ila kwa mugabe linakufa jitu
 
Awa jamaa awajacheza mashindano yoyote tangu mwezi wa 3 inamaana metch fitness wamepata wakati wanacheza na Simba ii inaonyesha jinsi wenzetu walivyo piga hatua. Ukumbuke Simba ndio wako kwenye ubora wao kabisa.
Tumezoea hizo taarabu za utopolo
 
Awa jamaa awajacheza mashindano yoyote tangu mwezi wa 3 inamaana metch fitness wamepata wakati wanacheza na Simba ii inaonyesha jinsi wenzetu walivyo piga hatua. Ukumbuke Simba ndio wako kwenye ubora wao kabisa.
Kwani sisi yanga tunacheza na nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…