rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Yanga watamshukia kwa kuwadanganyaAlichokifanya BM3 leo
Kesho MWAKALEBELA Lazima ataita mkutano na waandishi wa habari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga watamshukia kwa kuwadanganyaAlichokifanya BM3 leo
Kesho MWAKALEBELA Lazima ataita mkutano na waandishi wa habari.
hata uchukue vpl na fa jana ila leo ukutane na yanga anakufilimba tuulaya umeingiaje hapa,jibu swali mko nafasi ya ngapi CAF. mara ya mwisho kuchukua kombe VPL na FA ilikuwa lini?
Hahaha huo ni uchawi sasa Ila kweli hastahili kucheza Simba huyu aende Barcelona tu mana sio kwa pira lileHana hadhi ya kucheza Simba
goli 5 zipi zile za mbeleko 3 za penati ama kuna nyingineUsikumbushe mambo ya yaliyopita autatamani kuyakumbuka,goli tano bado ni kidonda kibichi kwenu Uto.
Yaani mkuu hawa jamaa washamba sana sijawahi ona. Duh!!Ila mashabiki wa Yanga sijui mna matatizo gani [emoji1][emoji1]
Vumilia tu mkuu maana umekua
amesanuka kwenye mashindano gani leo umeona kuna upinzani wa kimchezo ama ndo vile kujifarijiBenard Morrison amesanuka Kama alivyosanuka Raly Bwalya.
Sasa yuko fit mbaya mbovu
Jamaa unatia aibu.Mapinduzi Cup ni kombe la kutolea mfano!,hata uchukue vpl na fa jana ila leo ukutane na yanga anakufilimba tu
kwani we mara ya mwisho kuchukua mapinduzi cup ni lini
Umesahau fa tulichukua baada ya kukupa kipigo kama cha leohata uchukue vpl na fa jana ila leo ukutane na yanga anakufilimba tu
kwani we mara ya mwisho kuchukua mapinduzi cup ni lini
Izoizo bado zinawatesa sana mkizikumbuka.goli 5 zipi zile za mbeleko 3 za penati ama kuna nyingine
angalau mapinduzi sio kushangilia bonanza la timu 3Jamaa unatia aibu.Mapinduzi Cup ni kombe la kutolea mfano!,
fa ile mliyo muhonga dola 10000 morisoni baada ya kuwatandika free kick ya kigaidi hahahahaUmesahau fa tulichukua baada ya kukupa kipigo kama cha leo
Na wewe tafuta za mbeleko au umesahau penati nje ya box au magoli ya mkono aliyokuwa akifunga Tambwegoli 5 zipi zile za mbeleko 3 za penati ama kuna nyingine
huwez teswa na goli 3 za penati, kama una akili timamuIzoizo bado zinawatesa sana mkizikumbuka.
Simba imefluku tu, kama ingekuwa Yanga leo El Hilal wangelala kwa zaidi ya goli 6Leo January 27, 2021 Ni upunguzi rasmi wa michuano ya Simba Super Cup, ambapo Simba SC wanapambana na Al Hilal ya kutoka nchini Sudan kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.
Michuano hii ya Mabingwa katika nchi zao unatarajiwa kuwa mikali na ya kusisimua ikishirikisha Simba SC, TP Mazembe kutoka Congo na Al Hilal kutoka nchini Sudan.
Usikose Ukasimuliwa, mchezo ni kuanzia saa 11:00 jioni.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
•••Kikosi cha Simba SC
Beno Kakolanya
David Kameta
Mohamed Hussein
Kennedy Juma
Joash Onyango
Taddeo Lwanga
Rally Bwalya
Claotus Chama
Maddie Kagere
Perfect Chikwende
Francisc Kahata
Ongeni na nyie huwa hamkosi sababu mkifungwafa ile mliyo muhonga dola 10000 morisoni baada ya kuwatandika free kick ya kigaidi hahahaha
Timu za Africa zenye hadhi ya kimataifa kwenye soka na uendeshaji wa kimataifa. Zimekuja kwenye mashindano kwa heshma kubwa ya mkubwa mwenzao Simba Sports Club.angalau mapinduzi sio kushangilia bonanza la timu 3
Za mapinduzi zilitokana na nini kweli Eymael hakukoseahuwez teswa na goli 3 za penati, kama una akili timamu
naikumbuka ile penati mkuu si ile ya yondani na kagere amaNa wewe tafuta za mbeleko au umesahau penati nje ya box au magoli ya mkono aliyokuwa akifunga Tambwe
Kubishana na upotolo ninmatumizi mabaya ya mudanaikumbuka ile penati mkuu si ile ya yondani na kagere ama
maradona anakumbukwa kwa goli la mkono na tambwe pia usimsahau henry kuivusha ufaransa alipiga la mkono
futa mashindano weka kujiandaa hahaha aliye kwenye mashindano ni nyau peke yake wengine wana jiweka fiti kwa mazoeziTimu za Africa zenye hadhi ya kimataifa kwenye soka na uendeshaji wa kimataifa. Zimekuja kwenye mashindano kwa heshma kubwa ya mkubwa mwenzao Simba Sports Club.