Uwanja wa Benjamin Mkapa | Simba Super Cup, Simba SC Vs Al Hilal Club

hahaha mbumbumbu huwa mnadanganywa kidogo sana jamaa wamefika jana na uchovu badala mfikirie kupanga timu mnakimbilia kufunga wakat mchezo wa bonanza
We jamaa una ghubu kama dada yako!!!

Kama unaona haina maana si kajifungie kwenu jifunike ulale!? Ya nini kufuatilia unavyoona havina maana? "Yaani kisebusebu na kiroho papo "
 
We jamaa una ghubu kama dada yako!!!

Kama unaona haina maana si kajifungie kwenu jifunike ulale!? Ya nini kufuatilia unavyoona havina maana? "Yaani kisebusebu na kiroho papo "
hahaha jamaa wamechoka ila mmekania ili muonekane mnajua kumbe paka pori tu
 
Za chinichini zinasema ya kwamba,,,,,,

Yanga waliomba mechi ya kirafiki na Alhly baada ya haya mashindano.waarabu wakawajibu Yanga ya kwamba"kiwango chenu bado kipochini"[emoji23]
izo itakuwa toka kwa manara ili awadanganye mko vzr wenye akili wanatumia bonanza kujiweka fiti umbumbumbu wenu mnafanya ni mashindano
 
Yaani mkuu hawa jamaa washamba sana sijawahi ona. Duh!!

Nizar Halfani aliisifia Simba juzi juzi, wakaanza ooh, ana mapenzi na Simba.
Mpaka nashindwa kuwatathmini. Pengine hawajui maana ya ulinganisho/uchambuzi?
😂😂😂
 
Nilichoona
Huyo Morrison hana busha kama inavyodaiwa.

Ila tu kapigwa stop kucheza mashindano yoyote yanayotambuliwa na CAF mpka shauri la kesi litakapokwisha ..
 
timu zote hapo ni kati ya timu 16 bora CAF,wewe nyamaza kalale
hata zingekuwa 3 bora huu kwao sio msimu wa mashindano ni mechi za kujipima huku wakijilinda wasiumie (uzuri umeona uchezaji wao) ila timu yako inaona haya ndo mashindano inayapakia hadi mkongo wakijua mbele hawatoboi
 
mi ka shabiki wa uto de utelembwe nyani kindaki ndaki toka moyoni nashauri simba ihamishiwe EPL/LALIGA maana kwa kikosi chao VPL wanapoteza muda bure.
na ruvu ahamishiwe wap
 
Mechi ya Simba Vs Almareikh imeisha.

Sasa kuna mechi ya kupalamiana kwa maneno Simba Vs Yanga ndondi Club[emoji23][emoji23]
hahahaha ilikua mechi ya kuwapima mlio wasajili ila morisoni kaingia na mbwembwe hadi mmesahau kuangalia walioletwa wanafaa kupunguza zile 5 ama laah
 
Watu wanashangilia kushinda friendly match, shame
 
Mechi ya Simba Vs Almareikh imeisha.

Sasa kuna mechi ya kupalamiana kwa maneno Simba Vs Yanga ndondi Club
hahahaha ilikua mechi ya kuwapima mlio wasajili ila morisoni kaingia na mbwembwe hadi mmesahau kuangalia walioletwa wanafaa kupunguza zile 5 ama laah
Walio letwa mmoja wapo si kacheza,Chikwendeee.y

Sasa unaumia nini? Kimeingia kwa mwingine, unahangaika wewe huku. Looh!!

Wewe nenda kajipime na Ngwabina au Ihefu ndiyo size yako.

Vyovyote utakavyoita, Ya wakubwa hayakuhusu.
ukubwa upi unao zungumzia kua na washabiki wengi maandazi ama

Nilitegemea nione mkijadiri viwango vya.mlio wasajiri nyie mnazungumzia upuuzi wa morison
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…