Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League VPL' kuendelea kupigwa leo November 22, 2020 kwa mchezo miwili.
Kwenye Uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera, Kagera Sugar inavurumishana na Mwadui FC ambapo timu zote mbili zinahitaji alama tatu muhimu ili kuweza kujinasua kwenye nafasi ya chini kwenye msimamo wa VPL.
Kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Yanga SC inakwaruna na Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kombe la Shirikisho la Afrika CAF, Namungo FC.
Mchezo huu utakuwa mkali na wa kusisimua Yanga wakihitaji alama tatu ili kukaa kileleni na Namungo FC wakitaka kushinda na kusogea nafasi ya juu kutoka nafasi ya tisa huku wakitaka vilevile kuuthibitishia Umma kweli wanastahiki kuwakilisha Tanzania michuano ya Kimataita sambamba na ujio wa kocha mpya Hemed Morocco ambaye amechukua nafasi ya Thiery Hitimana.
Update;
Yanga SC na Namungo FC wamegawana alama moja moja baada ya kwenda sare ya kufungana kwa bao moja kwa moja kwenye patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League VPL'kunako Uwanja wa Benjamin Mkapa
FT; VPL' Yanga SC 1-1 Namungo FC
Kwenye Uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera, Kagera Sugar inavurumishana na Mwadui FC ambapo timu zote mbili zinahitaji alama tatu muhimu ili kuweza kujinasua kwenye nafasi ya chini kwenye msimamo wa VPL.
Kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Yanga SC inakwaruna na Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kombe la Shirikisho la Afrika CAF, Namungo FC.
Mchezo huu utakuwa mkali na wa kusisimua Yanga wakihitaji alama tatu ili kukaa kileleni na Namungo FC wakitaka kushinda na kusogea nafasi ya juu kutoka nafasi ya tisa huku wakitaka vilevile kuuthibitishia Umma kweli wanastahiki kuwakilisha Tanzania michuano ya Kimataita sambamba na ujio wa kocha mpya Hemed Morocco ambaye amechukua nafasi ya Thiery Hitimana.
Update;
Yanga SC na Namungo FC wamegawana alama moja moja baada ya kwenda sare ya kufungana kwa bao moja kwa moja kwenye patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League VPL'kunako Uwanja wa Benjamin Mkapa
FT; VPL' Yanga SC 1-1 Namungo FC