Uwanja wa Dkt. Samia Arusha haukidhi viwango vya FIFA

Uwanja wa Dkt. Samia Arusha haukidhi viwango vya FIFA

Kusema hautakuwa na a viwango vya fifa ni uwongo, labda utetee hoja yako ya kuchezewa robo, nusu na fainali

Chamazi tu una viwango vya fifa ndio uwe huo?
 
Hili nalo ni janga ,utasema mama kalima mazao kauza amekuja kutugawia pesa

Watu tunalipa Kodi kwa shida ila serikali inatupa huduma kwa vijembe, utaskia mama kawajengea barabara, yaani ujinga mtupu Africa hii
Ndio ni kweli katujengea.
Maana hata angeziiba pesa tungejua wapi?
 
Ili kukidhi viwango vya FIFA inabidi uwe na seat kuanzia 40,000.

Tanzania kwa sasa hatuna uwanja wa kuhost ufunguzi wa finally za kombe la Dunia. Walau mkapa unaweza host robo fainali.

Kwanini Serikali isiongeze just. 10K walau kuwa na uwanja wa viqango vya FIFA?

Maoni yangu bado wanaweza fanya adjustment, Wachina ni wazuri sana kwenye hili, na pesa Samia anazo za kutosha.

Naona wametoa picha ni nzuri lakini ukubwa wa uwanja utavutia matukio mengi ya kimichezo kufanyika Tanzania.

View attachment 2939166
Sasa Kwa nini wanajenga kiwanja Kwa kutizingatia hadhi ya FIFA tena eneo la Kimkakati kama Arusha?

Serikali isifanye upuuzi kama huo na Dodoma.

Zanzibar hoyee

View: https://x.com/millardayo/status/1838951714369478911?t=7mSsdL0zwhGmEFN1X4m8OA&s=19
 
Kwanini hizo pesa wasingezielekezea kurekebishia viwanja vilivyochoka! Mwanza, shinyanga, dar, mbeya n.k! Sasa Arusha na mpira wapi na wapi ndugu zangu! Mama akae na afikirie mara mbili mbili
UNAFAHAMU HATA HICHO KIWANJA KIMEJENGWA KWA SABABU IPI AU UMEKURUPUKA TU BAADA YA KUVIMBIWA MAKANDE?
 
Back
Top Bottom