Uwanja wa gwambina unamilikiwa na nani?

Shauri zako! Endelea na siasa

Kwenye hio habari kuna maneno haya
"Lakini leo wakati wa uzinduzi wa uwanja huo meneja Mnyeti ambaye ni Mkuu wa mkoa wa Manyara amesema uwanja huo umegharimu kiasi cha shilingi 838,000,0000."

Wewe hujayaona hayo au ni msukuma wewe?
 
Mnakurupuka sana ku-quote minyuzi! Wewe mleta kaandika Bw. Nyanda Mnyeti wewe unamjadili Alexander Mnyeti!

Kuweni makini na maandishi!
Lakini leo wakati wa uzinduzi wa uwanja huo meneja Mnyeti ambaye ni Mkuu wa mkoa wa Manyara amesema uwanja huo umegharimu kiasi cha shilingi 838,000,0000.
 
Huyu jamaa nasikia ana undugu na mama Jeska,... Ndio maana kabebwa bebwa hadi kufikia hapo,.
Sasa kama Ruangwa umejengwa uwanja,.. Kwann yeye ashindwe kujenga Mwanza,.. Mpaka kuisha miaka kumi, mtayashangaa mengi kama sio Mwanza basi Chato... Hiyo geresha tu, hamna mkopo wala magari...
 
Lakini leo wakati wa uzinduzi wa uwanja huo meneja Mnyeti ambaye ni Mkuu wa mkoa wa Manyara amesema uwanja huo umegharimu kiasi cha shilingi 838,000,0000.
Inawezekana! Basi kuna shida kwenye uandishi wa mleta uzi! Maana mkuu wa mkoa wa Manyara anaitwa Alexander Mnyeti na si Bw. Nyanda Mnyeti kama mleta uzi alivyomwita!
 
Ni kweli ni ndugu kabisa na Mama jen
 
Mkuu, neno milioni linachukua nafasi ya sufuri sita; hivyo, sahihi ni milioni 300
 
Uongo uongo hausaidii, huwezi kopa hela benki kwa riba then ukaizike uwanjani. Mradi huo siyo kabisa au zero ROI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…