Sasa usiongee huku unalia nyamaza kwanza tunashindwa kukuelewa kijana wa utokweli nyie ni mapaka fc hao sevilla uliwafunga? halafu ukijitapa nyau kucheza na sevilla na waarabu unataka wasemeje juzi tu wametoka kuchezana Buyern Munich mabingwa wa ulaya
Kwa hiyo kwa sasa tunaweza kusema "simba wanaipumulia yanga nyuma?"
HahahahahaHawa utelembwe ndio wa kucheza na mwarabu walai maandalizi ya hamsa yanahanzia kwa mkapa
Mungu saidia Biashara.
we kweli utopolo kwani hao al ahly waliwafunga bayern?kweli nyie ni mapaka fc hao sevilla uliwafunga? halafu ukijitapa nyau kucheza na sevilla na waarabu unataka wasemeje juzi tu wametoka kuchezana Buyern Munich mabingwa wa ulaya
mkumbushe Platu, Planum na AS Vita alisemajetumecheza na sevilla afu we unasema muarabu?
muache atabadilisha team round hii mpaka akomemkumbushe Platu, Planum na AS Vita alisemaje
muda wa jioni huu biashara ishafungwaMungu saidia Biashara.
itoshe tu kusema wewe utelembwe naona auna hoja nyie ile gemu mlikaza lakini au sevilla walikua wamekuja kutalii,we kweli utopolo kwani hao al ahly waliwafunga bayern?
sisi tulikipiga bila mapenzi ya kocha kutaka kila mtu acheze, tulikua tunawaibisha kwa kipigo cha 4-1 kama tulivyo kufanya wewe
Sisi tulikaza hatukukubali waondoke bila kuwapachika magoli hata kama tulipoteza, sasa hao maostadh waliocheza na buyern walifunga magoli mangapi mechi hiyo licha ya kwamba walipoteza mechi?
Tuna mechi ya kirafiki na LiverpoolMtani mechi inayofata mnacheza na nani?
Nijuze ili kamati za fitna,roho mbaya pamoja na kamati ya nuksi zianze kazi.
walikuja kutalii na wakati pitch ilikua inaonesha namna jamaa wanavyo hustle?itoshe tu kusema wewe utelembwe naona auna hoja nyie ile gemu mlikaza lakini au sevilla walikua wamekuja kutalii,
Kaa ukijua jumanne unaolewa live pale kwa mkapa
Hukuhudhuria madarasani.Acha mawazo ya kinyau nyau kwa mahana hiyo simba lazima hao wanganga wenu wacheze ndio ujue wamecheza simba
Usilie... Nyamaza kwanza. Uliishia darasa la ngapi? Mnakumbuka kipigo cha 5-0? Na cha mwaka jana 4-1? Ninyi ni wateja. Mkijitahidi ushindi wenu ni draw hapo mnashangilia sana. Usilie andika kwa utaratibu...Yanga hata mbovu namna gani kwenye ligi haiwezi kufungwa no mikia mwaka juzi simba alishindwa kumfunga Yanga pamoja ubovu wote safari mmetoa sare mechi ya kwanza mkisawazisha dakika za majehi narudia kwenye ligi simba hawezi kumfunga Yanga Mikia ni Mikia tu hatuna jina jingine
mwaka juzi mbali sana mbonaYanga hata mbovu namna gani kwenye ligi haiwezi kufungwa no mikia mwaka juzi simba alishindwa kumfunga Yanga pamoja ubovu wote safari mmetoa sare mechi ya kwanza mkisawazisha dakika za majehi narudia kwenye ligi simba hawezi kumfunga Yanga Mikia ni Mikia tu hatuna jina jingine
Nadhani akiwa maliwatoni, huku akiharisha kwa tumbo kumsokota mara baada ya mnyama mkali Simba aka Zimbaa kufanya mauaji ya halaiki.Unateseka ukiwa wapi
Mwaipopo ukwesile ikambo inywamu!! Hebu leta statistics za kweliYanga hata mbovu namna gani kwenye ligi haiwezi kufungwa no mikia mwaka juzi simba alishindwa kumfunga Yanga pamoja ubovu wote safari mmetoa sare mechi ya kwanza mkisawazisha dakika za majehi narudia kwenye ligi simba hawezi kumfunga Yanga Mikia ni Mikia tu hatuna jina jingine
Kwa hiyo waarabu waliiwakilisha utopolo? 😁😁😁 Maana umekazana waarabu, waarabu, badala ya kuzungumzia Kagera Sugar 😁😁😁kweli nyie ni mapaka fc hao sevilla uliwafunga? halafu ukijitapa nyau kucheza na sevilla na waarabu unataka wasemeje juzi tu wametoka kuchezana Buyern Munich mabingwa wa ulaya