Uwanja wa kisasa wa Ndege za Kivita Wazinduliwa Morogoro Tanzania

Uwanja wa kisasa wa Ndege za Kivita Wazinduliwa Morogoro Tanzania

Kwani hizo ndege zipo? Na kama zipo sio zile zilizopigana WWII kweli? Maana wenzetu wanatengeneza silaha za kisasa kila kukicha.
Ukiona tunajenga kiwanja cha kisasa ujue ni maandalizi ya Su 35
download (1).jpg


163955136.jpg
 
First lady mbona haonekani kwenye baraza la mawaziri?
Kwahiyo unataka ufanyeje? Kwani Kikatiba wajumbe wa baraza la mawaziri ni akina nani? Mbona unakuwa mwehu hivyo.
Halafu nikuulize kikatiba je, katiba imesema rais aambatane na nani kwenye ziara zake za kiserikali?
Mbona unakuwa mpumbavu kiasi hicho. Acha utoto mwehu wewe.

Ukosefu wako wa adabu usiuoneshe wazi wazi. Uwe na adabu kwa viongozi wa nchi.
 
A 3000M long plane? hahahah.

It is like building a KSH 20M car park for a rickshaw.

Here are Tanzania's 19th century wonder planes:

ShenyangF.jpg
 
Tanzania kunaa vitaa au hzo ndege zinatusaidiajee km watanzania au unaweza kukodishia nchi zenye vita tukapata fedhaa..naomben kueleweshwa ndugu
 
Tanzania kunaa vitaa au hzo ndege zinatusaidiajee km watanzania au unaweza kukodishia nchi zenye vita tukapata fedhaa..naomben kueleweshwa ndugu
Wewe bando unanuka maziwa mdomoni. Kojoa ukalale watu wazima waongee. Wewe katoto ka miaka ya juzi juzi utajua nini wewe. Zaidi sana nitasema wewe ni mwehu au kichaa.
 
Tanzania kunaa vitaa au hzo ndege zinatusaidiajee km watanzania au unaweza kukodishia nchi zenye vita tukapata fedhaa..naomben kueleweshwa ndugu
Silaha za kivita sio kwa ajili ya kupigana vita. Ni kwa ajili ya kujilinda. Adui wanaogopa kutuvamia kwa kuwa tuna silaha za kivita pamoja na jeshi. Tusinge kuwa navyo hivyo tungekuwa chini ya wavamizi by now as we speak...
 
Silaha za kivita sio kwa ajili ya kupigana vita. Ni kwa ajili ya kujilinda. Adui wanaogopa kutuvamia kwa kuwa tuna silaha za kivita pamoja na jeshi. Tusinge kuwa navyo hivyo tungekuwa chini ya wavamizi by now as we speak...
Mara ya mwisho kumbukumbu yako inasema tulivamiwa lini na maadui?
 
Wewe bando unanuka maziwa mdomoni. Kojoa ukalale watu wazima waongee. Wewe katoto ka miaka ya juzi juzi utajua nini wewe. Zaidi sana nitasema wewe ni mwehu au kichaa.
Mkuuu nimeulizaa swalii ss kosa lipoo wapii .achaa kujifanyaa mjuajii km uwezii jibuu c ukaee kimyaa..nimeulizaa nipatee kujifunzaa na nikishajuaa nikisikiaa wenzangu mtaani wanaiyongeleaa ishuu km hyoo nitawezaa kuwaelewesha kutokana na nimeshajifunzaa kwako au kwa wenginee kwakuwaa ww n mzee wa kukurupukaa na mjingaa wa mwishoo na usiyee juaa kituu ndioo maana umenijibuu hvyoo
 
Mkuuu nimeulizaa swalii ss kosa lipoo wapii .achaa kujifanyaa mjuajii km uwezii jibuu c ukaee kimyaa..nimeulizaa nipatee kujifunzaa na nikishajuaa nikisikiaa wenzangu mtaani wanaiyongeleaa ishuu km hyoo nitawezaa kuwaelewesha kutokana na nimeshajifunzaa kwako au kwa wenginee kwakuwaa ww n mzee wa kukurupukaa na mjingaa wa mwishoo na usiyee juaa kituu ndioo maana umenijibuu hvyoo
Hayo maswali ya watoto wadogo. Na watoto hawaruhusiwi kutumia mitandao. Kama wewe ni mtu mzima utakuwa na mtindio wa ubongo.
 
Uwanja ni wa kisasa na wa kipekee kusini mwa Jangwa la Sahara.
Viwanja vya namna hiyo ni viwili tu vimejengwa China na hiki kimoja hapa Tanzania.

"Kinaurefu wa mita 3,000, Upana mita 45 unene wa Sentimita 45"

MICHUZI BLOG: RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO

RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO | KAMANDA WA MATUKIO

View attachment 477530 View attachment 477531 View attachment 477532


NB: Watani zetu wakenya naona wanaendelea kukenua kenua meno.
Sasa Uwanja huu ndege matata za kivita mtaziona sio muda mrefu.
Vifaa kama hivi hapa chini nadhani vitapatikana hapa bongo

View attachment 477536

View attachment 477537
picha #3 sizonje hakujilipua kweli😀😀😀
 
Back
Top Bottom