Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
First lady mbona haonekani kwenye baraza la mawaziri?First lady. Halafu maswali mengine ya kitoto kabisa hivi mbona mnakuwa kama wapumbavu!!?
Kwahiyo unataka ufanyeje? Kwani Kikatiba wajumbe wa baraza la mawaziri ni akina nani? Mbona unakuwa mwehu hivyo.First lady mbona haonekani kwenye baraza la mawaziri?
Wewe bando unanuka maziwa mdomoni. Kojoa ukalale watu wazima waongee. Wewe katoto ka miaka ya juzi juzi utajua nini wewe. Zaidi sana nitasema wewe ni mwehu au kichaa.Tanzania kunaa vitaa au hzo ndege zinatusaidiajee km watanzania au unaweza kukodishia nchi zenye vita tukapata fedhaa..naomben kueleweshwa ndugu
Silaha za kivita sio kwa ajili ya kupigana vita. Ni kwa ajili ya kujilinda. Adui wanaogopa kutuvamia kwa kuwa tuna silaha za kivita pamoja na jeshi. Tusinge kuwa navyo hivyo tungekuwa chini ya wavamizi by now as we speak...Tanzania kunaa vitaa au hzo ndege zinatusaidiajee km watanzania au unaweza kukodishia nchi zenye vita tukapata fedhaa..naomben kueleweshwa ndugu
Mara ya mwisho kumbukumbu yako inasema tulivamiwa lini na maadui?Silaha za kivita sio kwa ajili ya kupigana vita. Ni kwa ajili ya kujilinda. Adui wanaogopa kutuvamia kwa kuwa tuna silaha za kivita pamoja na jeshi. Tusinge kuwa navyo hivyo tungekuwa chini ya wavamizi by now as we speak...
Kuna kuvamiwa na kuna wavamizi kuogopa. Na kunatishio la kuvamiwa. Acha basi mambo ya kitoto. Labda wewe uwe mtoto mdogo la sivyo nitakuona mjinga. Lakini ukizidi hapo nitakuona mpumbavu.Mara ya mwisho kumbukumbu yako inasema tulivamiwa lini na maadui?
Mkuuu nimeulizaa swalii ss kosa lipoo wapii .achaa kujifanyaa mjuajii km uwezii jibuu c ukaee kimyaa..nimeulizaa nipatee kujifunzaa na nikishajuaa nikisikiaa wenzangu mtaani wanaiyongeleaa ishuu km hyoo nitawezaa kuwaelewesha kutokana na nimeshajifunzaa kwako au kwa wenginee kwakuwaa ww n mzee wa kukurupukaa na mjingaa wa mwishoo na usiyee juaa kituu ndioo maana umenijibuu hvyooWewe bando unanuka maziwa mdomoni. Kojoa ukalale watu wazima waongee. Wewe katoto ka miaka ya juzi juzi utajua nini wewe. Zaidi sana nitasema wewe ni mwehu au kichaa.
Waende wakaulizane na watoa funza wenzao nchi jirani, mke wa rais ni msiri moja wapo wa nchi pia.First lady. Halafu maswali mengine ya kitoto kabisa hivi mbona mnakuwa kama wapumbavu!!?
Asantee mkuuSilaha za kivita sio kwa ajili ya kupigana vita. Ni kwa ajili ya kujilinda. Adui wanaogopa kutuvamia kwa kuwa tuna silaha za kivita pamoja na jeshi. Tusinge kuwa navyo hivyo tungekuwa chini ya wavamizi by now as we speak...
Hayo maswali ya watoto wadogo. Na watoto hawaruhusiwi kutumia mitandao. Kama wewe ni mtu mzima utakuwa na mtindio wa ubongo.Mkuuu nimeulizaa swalii ss kosa lipoo wapii .achaa kujifanyaa mjuajii km uwezii jibuu c ukaee kimyaa..nimeulizaa nipatee kujifunzaa na nikishajuaa nikisikiaa wenzangu mtaani wanaiyongeleaa ishuu km hyoo nitawezaa kuwaelewesha kutokana na nimeshajifunzaa kwako au kwa wenginee kwakuwaa ww n mzee wa kukurupukaa na mjingaa wa mwishoo na usiyee juaa kituu ndioo maana umenijibuu hvyoo
picha #3 sizonje hakujilipua kweli😀😀😀Uwanja ni wa kisasa na wa kipekee kusini mwa Jangwa la Sahara.
Viwanja vya namna hiyo ni viwili tu vimejengwa China na hiki kimoja hapa Tanzania.
"Kinaurefu wa mita 3,000, Upana mita 45 unene wa Sentimita 45"
MICHUZI BLOG: RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO
RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO | KAMANDA WA MATUKIO
View attachment 477530 View attachment 477531 View attachment 477532
NB: Watani zetu wakenya naona wanaendelea kukenua kenua meno.
Sasa Uwanja huu ndege matata za kivita mtaziona sio muda mrefu.
Vifaa kama hivi hapa chini nadhani vitapatikana hapa bongo
View attachment 477536
View attachment 477537
Jamaa na siunapenda kupost shit [emoji23][emoji23][emoji23]Huko kwenu kenya viwanja vya ndege ni viwanda? Au ndio wehu wa akili kuliwa na funza!?