Uwanja wa kisasa wa Ndege za Kivita Wazinduliwa Morogoro Tanzania

Uwanja wa kisasa wa Ndege za Kivita Wazinduliwa Morogoro Tanzania

Tunafanya shughuli zetu kwa amani mana maadui wa nje ya mipaka wanaogopa ulinzi wetu chini ya jeshi letu na serikali yetu makini.

Naipongeza serikali yetu kwa kuimarisha jeshi letu kamandi ya anga. Sasa tuna uwanja ni wakati wa kuwa na ndege za kivita za kisasa, sio lazima tuwe na ndege kama za marekani,urusi,korea na china bali kwa kuanzia tuwe vizuri ili nchi majirani wasiwe na wazo au ndoto hata ya kutuchungulia.

Hongera jw hongera mtukufu raisi
 
Kujengewa kambi ya vita ni udhaifu uliopindukia

Sawa na kumtoa mke wako agongwe na watu
 
Alafu nchi inanjaaa

Kenya pia njaaa imezd baringo
 
Waache Mkuu wameng'ang'ania na tambo za SGR yao inayotumia makaa ya mawe na trump kawauzia ndege za kumwagia dawa kwenye mashamba ya kahawa wanajisifu nazo wanaenda kumaliza mizizi ya alshabab[emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ndege yenye urefu wa mita 3000?
Ndugu kama unasoma kitu halaf kinakupa uyungi yungi kukielewa ni vyema ukakirudia mara kadhaa kabla ya kukurupuka tu kukomenti ili nawe uonekane umechangia
 
Jeshi imara linaendana na vifaa imara, hongera mheshimiwa
 
Kwa hiyo hata Urusi na Marekani hawana uwanja ka huo? Kwa maama mleta mada umesema uwanja kama huo uko China tu.
 
Hongera mh.rais kwa uzinduzi mzr wenye tija na taifa letu naipenda tz nanitailinda daima
 
Kwahiyo unataka ufanyeje? Kwani Kikatiba wajumbe wa baraza la mawaziri ni akina nani? Mbona unakuwa mwehu hivyo.
Halafu nikuulize kikatiba je, katiba imesema rais aambatane na nani kwenye ziara zake za kiserikali?
Mbona unakuwa mpumbavu kiasi hicho. Acha utoto mwehu wewe.

Ukosefu wako wa adabu usiuoneshe wazi wazi. Uwe na adabu kwa viongozi wa nchi.
Msimtukane makonda ...ngano chakavu imeharibu kizazi cha kikwete mkuu
 
Ndugu kama unasoma kitu halaf kinakupa uyungi yungi kukielewa ni vyema ukakirudia mara kadhaa kabla ya kukurupuka tu kukomenti ili nawe uonekane umechangia
Kosa langu mimi ni lipi ? Mimi na wewe kakurupuka nani ? Nenda kasome mwanzo wa uzi huu comments za wadau wengine ,jibu ukipata kaa nalo
 
Back
Top Bottom