Itakuwa amepatwa na sio kuwahiwa😜
Naona dudu uduvi umekuja kwenye kazi yako...Dalili za korona hizo sio za upendo puluchuchu wewe😜😂😂
Acha longo longo sema mfukoni una shilling ngapi umuhonge maneno mengi kama Manara.😁
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
😲😲Imeisha hiyo 😂😂😂😂
😂😂😂 Unavyoandika unanikumbusha STUNTER😲😲
Unaacha mbachao kwa msala upitao..??
Ukipenda kusikiliza ya vikalagosi watakutia mikosi.. najua lazima tuishi kwa pochi ila tutaishije bila kumulika tochi..??
Vipali watakupalia mwali utakuja umia!
Watakuchagulia kila neno kwasababu wao hawana meno.
Soma kichwa cha uzi utajua wamesimamia wapi hao washawishi wako...troublemaker kasema huna ela
Kakusikia mkuu! Naamini kabisa mpaka sasa mko p.m mnayajenga kiutu uzimaWe dada mi nakupenda mpk nahisi kuzimia!
Moyo wangu umeudondokea sina hata presha na trending za dunia!
Naona kama siku zangu zinahesabika nikikukosa.. pendo nililonalo kwa nguvu yake inaweza beba hata sayari zote!.. natamani hata nikuchukue tukaishi hata kwenye mbalamwezi.. jina lako tamu na haliishi hamu lanimulika kama jua linavyotumulika kutupatia mwanga wake upendezao!
Najitahidi kuvumilia pendo nililonalo juu yako lakini halivumiliki kama anga lisivyoweza kuziziba nyota zisionekane usiku!..
Upendo wako nitaulinda kama dunia inavyotulinda na vimondo!
Nitaliangamiza jinamizi la giza kama jua linavyoangamiza giza pindi lichomozapo!..
Natamani nikuhonge hata sayari na nyota zote zilizopo ulimwenguni ziwe mali yako!,lkn ni vile tu si vyangu!!
Kuna wachawi wameniwangia huko juu!😠Kakusikia mkuu! Naamini kabisa mpaka sasa mko p.m mnayajenga kiutu uzima
😂😂😂 watu wengine nuksi tu mkuu.. siku zote walikuwa kimya! Akijitokeza mtu kuzungumza ya moyoni wanatia kauzibe. Usikute wanapaa hao usiku! Ila na mlengwa nadhani anauona ujumbe huu! Tafadhali jaribu kufikiria mara mbili mara tatu..Kuna wachawi wameniwangia huko juu!😠
Mkuu hiyo avatar yako ulilazimishwa kuiweka au..?
Hapana mkuu huyo ndo mie mwenyewe! Kwanini😀Mkuu hiyo avatar yako ulilazimishwa kuiweka au
[emoji16][emoji16] acha uchoyoKasemaje kwani?
Mie nimesoma hadi hapo alipoandika we dada
Mambo yamerahisishwa siku hiziDalili za korona hizo sio za upendo puluchuchu wewe[emoji12][emoji23][emoji23]
Acha longo longo sema mfukoni una shilling ngapi umuhonge maneno mengi kama Manara.[emoji16]
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]