Uwanja wa mazoezi wa timu yenye uwekezaji mkubwa kuzidi Al Hilal

Uwanja wa mazoezi wa timu yenye uwekezaji mkubwa kuzidi Al Hilal

Mbumbumbu katika ubora wako. Sasa hivi mko busy kuijadili Yanga! Tarehe 23 mkipokea kichapo kingine kutoka kwao, mnaanza tena kuwalalamikia akina Barabara na Matola, eti hawafai!!
Labda unazungumza shabiki Oya Oya ndo atasema Barbara Gonzalez hafai bila hoja yenye mantiki.

Halafu hatahivyo, kwani kuna ulazima wowote kwenye sheria kuwa kiongozi lazima ukubaliwe na wote unaowaongoza?

Mbona Mshindo Msolla walikuwa wanamkataa baadhi na kufikia kusema ana Kadi ya Simba SC, mbona hakurudi nyuma na alisonga mbele mpaka ulipokuja utaratibu mwingine wa uongozi.

Naona unakariri sana vitu vyepesi kila uchao ambavyo ni kawaida kwenye nyanja zote za Uongozi yaani.
 
Labda unazungumza shabiki Oya Oya ndo atasema Barbara Gonzalez hafai bila hoja yenye mantiki.

Halafu hatahivyo, kwani kuna ulazima wowote kwenye sheria kuwa kiongozi lazima ukubaliwe na wote unaowaongoza?

Mbona Mshindo Msolla walikuwa wanamkataa baadhi na kufikia kusema ana Kadi ya Simba SC, mbona hakurudi nyuma na alisonga mbele mpaka ulipokuja utaratibu mwingine wa uongozi.

Naona unakariri sana vitu vyepesi kila uchao ambavyo ni kawaida kwenye nyanja zote za Uongozi yaani.
Nitakuja kuwakumbusha mkianza yale makelele yenu ya kumkataa Matola na Barbara. Muda huu endeleeni tu na dua lenu la kuku dhidi ya Wananchi.
 
Nitakuja kuwakumbusha mkianza yale makelele yenu ya kumkataa Matola na Barbara. Muda huu endeleeni tu na dua lenu la kuku dhidi ya Wananchi.
Yanga lazima amanuliwe na mwarabu tena kwa staili ile ile ya nje ndani
 
Hivi hii gemu itachezwa lini ?
Nishachoka na tambo za wapiga debe ifike mwisho tujue mbivu na mbichi
 
Wenye akili ni wawili hii timu
huyu dogo alivyoingia tu utopoloni idadi ya wenye akili imebadilika na kuwa ilele
😂😅😆😁😄😃😀Nakwenda Kuchekea Chooni Tu
 
View attachment 2374168
View attachment 2374169
Uwanja wa timu kubwa kiuwekezaji kuliko Al Hilal. Uwanja umesheheni miundombinu yote pamoja na viwanja vya nyasi asilia na kapeti,gym, netball mpaka kiwanja kidogo cha ndege ya kuchukua timu.

View attachment 2374171View attachment 2374172Uwanja wa Al Hilal ukiwa umejaa mbigili tupu

My Take
Huyu msemaji akili zake amemkabidhi nani pale GSM?
Hapo tayari tumesha pima uwezo wa akili wa msemaji wao mpya ya kuwa mbali na yale aliyokuwa akiyachambua enzi akiwa mchambuzi ..kumbe jamaa akili zake haziko sawa...😆😆😆
 
Africa hapa hakuna timu yenye uwanja kama kaunda wewe. Kaunda ule uwanja ni multi-purpose uchumi wa Club ukiyumba timu inaweza kulima mpunga hapo vile vile wanaweza kufuga kambale wakapata kitoweo cha wachezaji. Msemaji yupo sahihi hakuna timu yenye uwekezaji mkubwa kama huu, huo uwanja wa Al Hilal huwezi kutumia mtumbwi kuingia uwanjani
Aaah kabisa yaani, mfano hifadhi ya taifa ya MBU Muhimbili (Muhimbili National Park) hiki ni kivutio kikubwa Africa na dunia chanzo chake ni Jangwani.
 
Sudan wamepitia vita sana, hongera sana kwa Al Hilal. Upande mwingine below the level
 
Back
Top Bottom