Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC) linapigwa leo Mei 1, 2021 kwenye Uwanja wa Mkapa, ambapo Mabingwa Watetezi, Simba SC wanakwaruzana na Kagera Sugar katika mchezo wa hatua ya 16 ya michuano hiyo.
Kwenye mchezo wa leo Mnyama Mkali Mwituni, Simba SC anapewa nafasi kubwa ya kushinda kutokana rekodi za hivi karibuni na vile vile kuwa na Kikosi bora ambacho kinatanya vizuri kwenye michuano mbalimbali kuliko Kagera Sugar. Je Kagera Sugar wataweza kutibua hiyo rekodi?
Kumbuka mtanange huu ni kuanzia saa 1:00 Usiku. Gumzo Hapo Ndipo.
========
Naaaam mpira umeanza uwanja wa Mkapa.
15' Mchezo ni mkali Wanaume hawa wanapambana lakini Simba SC wanamiliki mpira huku wakikosa nafasi nyingi zaidi kuliko Kagera Sugar
25' Kagera Sugar hawajaleta hatari zaidi kwa Simba, kama ambavyo Simba SC wanajaribu kutafuta bao
Simba SC 0-0 Kagera Sugar
40' Free Kick kuelekea Kagera Sugar, anapiga Wawaaaaa, golikipa anatema shuti lile.
42' Kagera Sugar wanakosa utulivu wa kuweka wavuni mpira, Mayanga alifanya kazi nzuri ya kumpiga chenga Wawa.
Golikipa wa Kagera Chalamanda anaonyeshwa Kadi ya Njano kutokana na kupoteza muda.
45' Goooooooooooooooooooooal
Erick Mwijage anaipatia Kagera Sugar bao la kwanza akiunganisha krosi ya kichwa
Simba SC 0-1 Kagera Sugar
Vitals Mayanga anaonyeshwa Kadi ya Njano baada kuzuia mpira usipigwe.
Naaaam mpira ni mapumziko ambapo Kagera Sugar wapo mbele kwa bao moja.
HT, ASFC; Simba SC 0-1 Kagera Sugar
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Mkapa, na Ametoka Taddeo na ameingia Morrison upande wa Simba SC.
Free Kick kuelekea Kagera Sugar, anapiga Chamaaa loooooo golikipa anatema na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda.
54' Ametoka Bwalya na ameingia Bocco upande wa Simba SC
55' Morrisoon Gooooooooooooaaal Gooooooaaal
Bernard Morrison anaipatia Simba bao la kusawazisha kazi nzuri ya Miquissone.
Simba SC 1-1 Kagera Sugar
Miquissone anaachia shutiiiiii kali, lakini mpira unatoka nje na kuwa Goal Kick.
67' Kagere Goooooooooooooaaal Gooooooaaal
Maddie Kagere anaipatia Simba SC bao la pili, akipokea pasi safi kutoka kwa Morrison
Simba SC 2-1 Kagera Sugar
Ametoka Mwijage na ameingia Seseme upande wa Kagera Sugar. Na ametoka Maddie Kagere na ameingia Nyoni upande wa Simba SC
80' Ni wakati wa Biriani.. kutoka kwa Wekundu wa Msimbazi.
Namna gani Bocco, nafasi mbili za wazi anakosa kuandika bao..!
90+3' Kuelekea kumalizika kwa mchezo wa ASFC uwanja wa Mkapa
Simba SC wanamiliki mpira huku wakipiga pasi za hapa na pale.
Naaaam mpira umekwishaaa ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao mawili kwa moja dhidi ya Kagera Sugar na kutinga robo fainali.
FT, ASFC; Simba SC 2-1 Kagera Sugar
Ghazwat
Kwenye mchezo wa leo Mnyama Mkali Mwituni, Simba SC anapewa nafasi kubwa ya kushinda kutokana rekodi za hivi karibuni na vile vile kuwa na Kikosi bora ambacho kinatanya vizuri kwenye michuano mbalimbali kuliko Kagera Sugar. Je Kagera Sugar wataweza kutibua hiyo rekodi?
Kumbuka mtanange huu ni kuanzia saa 1:00 Usiku. Gumzo Hapo Ndipo.
========
Naaaam mpira umeanza uwanja wa Mkapa.
15' Mchezo ni mkali Wanaume hawa wanapambana lakini Simba SC wanamiliki mpira huku wakikosa nafasi nyingi zaidi kuliko Kagera Sugar
25' Kagera Sugar hawajaleta hatari zaidi kwa Simba, kama ambavyo Simba SC wanajaribu kutafuta bao
Simba SC 0-0 Kagera Sugar
40' Free Kick kuelekea Kagera Sugar, anapiga Wawaaaaa, golikipa anatema shuti lile.
42' Kagera Sugar wanakosa utulivu wa kuweka wavuni mpira, Mayanga alifanya kazi nzuri ya kumpiga chenga Wawa.
Golikipa wa Kagera Chalamanda anaonyeshwa Kadi ya Njano kutokana na kupoteza muda.
45' Goooooooooooooooooooooal
Erick Mwijage anaipatia Kagera Sugar bao la kwanza akiunganisha krosi ya kichwa
Simba SC 0-1 Kagera Sugar
Vitals Mayanga anaonyeshwa Kadi ya Njano baada kuzuia mpira usipigwe.
Naaaam mpira ni mapumziko ambapo Kagera Sugar wapo mbele kwa bao moja.
HT, ASFC; Simba SC 0-1 Kagera Sugar
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Mkapa, na Ametoka Taddeo na ameingia Morrison upande wa Simba SC.
Free Kick kuelekea Kagera Sugar, anapiga Chamaaa loooooo golikipa anatema na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda.
54' Ametoka Bwalya na ameingia Bocco upande wa Simba SC
55' Morrisoon Gooooooooooooaaal Gooooooaaal
Bernard Morrison anaipatia Simba bao la kusawazisha kazi nzuri ya Miquissone.
Simba SC 1-1 Kagera Sugar
Miquissone anaachia shutiiiiii kali, lakini mpira unatoka nje na kuwa Goal Kick.
67' Kagere Goooooooooooooaaal Gooooooaaal
Maddie Kagere anaipatia Simba SC bao la pili, akipokea pasi safi kutoka kwa Morrison
Simba SC 2-1 Kagera Sugar
Ametoka Mwijage na ameingia Seseme upande wa Kagera Sugar. Na ametoka Maddie Kagere na ameingia Nyoni upande wa Simba SC
80' Ni wakati wa Biriani.. kutoka kwa Wekundu wa Msimbazi.
Namna gani Bocco, nafasi mbili za wazi anakosa kuandika bao..!
90+3' Kuelekea kumalizika kwa mchezo wa ASFC uwanja wa Mkapa
Simba SC wanamiliki mpira huku wakipiga pasi za hapa na pale.
Naaaam mpira umekwishaaa ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao mawili kwa moja dhidi ya Kagera Sugar na kutinga robo fainali.
FT, ASFC; Simba SC 2-1 Kagera Sugar
Ghazwat