Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
mkuu hivi haviruhusiwiTimu kubwa kama Simba hawana viatu vya wakati wa mvua ni aibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu hivi haviruhusiwiTimu kubwa kama Simba hawana viatu vya wakati wa mvua ni aibu.
Kwani kagera wanatumia uwanja upi??Huu uwanja leo ni kama ganda la ndizi
Kagera wao wanatumia uwanja upi kwani,?mnatuchanganya.uwanja unaharibu pira biryan
Hahahahaha haya bana.
tatizo ni formation. Simba inapiga mpira wa pasi na chenga nyingi na kwa circumstance ya uwanja inatilia ugumu kwa simba kufikia lengoKwani kagera wanatumia uwanja upi??
Hapana Mkuu uongozi hawajui msimu wa mvua wanunue viatu.Maalumu kwa utelezi kipindi hiki cha mvua DarSimba wamekusudia kutuletea maudhi walah
ishu sio viatu, ishu ni movement ya mpira kwenye maji haiwi na pressure kubwaHapana Mkuu uongozi hawajui msimu wa mvua wanunue viatu.Maalumu kwa utelezi kipindi hiki cha mvua Dar
kwa uwanja ulivyo ni kushinda kibahati tuUkweli ni kwamba simba haiwezi kupoteza hii mechi
nadhani makadirio ya kocha ilikua kupata mabao ya mapema halafu kipindi cha pili kiingie kikosi kwa ajili ya ku defense ushindikulikua na haja gani ya kuanza na kikosi chote cha kwanza !?? ukizingatia tuna mechi za muhimu mbeleni. mechi kama hizo ndio za kuwapa vijana wengine waonyeshe uwezo wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa...kagera wanacheza anganikwa uwanja ulivyo ni kushinda kibahati tu
dakika 10 za kipindi cha pili zitatupa mwangaza kujua mechi kwa simba ipo kwenye condition ganikwa uwanja ulivyo ni kushinda kibahati tu
Kweli Mkuuishu sio viatu, ishu ni movement ya mpira kwenye maji haiwi na pressure kubwa
labda hoja iwe kubadilisha mpira ambao utakua haukwami hovyo kwenye maji