SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,344
PressureWanataka kujifunga wenyewe [emoji1787] [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PressureWanataka kujifunga wenyewe [emoji1787] [emoji1787]
[emoji23][emoji23]niliwaambia kutangulia bar sio kuwahi kulewa
niliwaambia kutangulia bar sio kuwahi kulewa
Yaan ile kupost tu likafungwaMpaka dk ya 70 goli litakuwa limerudi. Naamini hivyo
ameshasaini tayariKagere aondoke tu huu msimu ukiisha
Msaada wake ni mdogo sana kwenye timu
ajibu je?Kagere aondoke tu huu msimu ukiisha
Msaada wake ni mdogo sana kwenye timu
abaki tu, bado ana mchango mzuri sana hata kwenye ligi nkimagoli ni top scorer sa unaanzaje kumkataa?ameshasaini tayari
Tunahitaji striker mpya mwenye umri mdogo, speed na footwork nzuri mithili ya Mbappe hivi.ameshasaini tayari
Fanya verification ya ulichoandika.Kagere aondoke tu huu msimu ukiisha
Msaada wake ni mdogo sana kwenye timu
mkuu mechi ya leo kulingana na hali ya uwanja ilivyo ni ngumu sana kutegemea player kuwa katika ubora wakeKagere aondoke tu huu msimu ukiisha
Msaada wake ni mdogo sana kwenye timu
Ajibu wa sasa sio level ya Simba, yuko slow sana halafu hasaidii timu kufanya pressing, anatembea tu uwanjaniajibu je?
huyo kagere akienda utopolo anaweza kuwa hatari kwa simba
Kagere leo mpira umemkataaPiga Miqsone pale kwenye nyavu za pembeni
Aingie MugaluuKagrreeeeeeeeee goooo