Ekuweme
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 3,520
- 3,962
Mshaanza malalamiko Fc. Hata la jana kwa Yanga ilikuwa ni offside piaHilo goli la kusawazisha ni clear offside, tuna safar ndefu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshaanza malalamiko Fc. Hata la jana kwa Yanga ilikuwa ni offside piaHilo goli la kusawazisha ni clear offside, tuna safar ndefu sana
Timu kubwa kwenye pitch zaidi ya Simba sasa hivi ni Barca, Real, Man City, hao wengine Al Ahly, Sundowns, Zamalek, Esperance tuko nao sawa.Gomez Ni Kocha, Anafanya Sub Za Akili Sanaa na malengo huyu Kocha Alistahili kuwa Timu kubwa zaidi ya Simba
Basi tufanye hilo la pili ndilo la kusawazisha. Hapo bado una la kusema. Bado tupo na ninyi bega kwa bega hesabuni Utopolo bado tuna game mbili na nyie. Labda muombe mfungwe njiani lakini TFF ni waungwana watapanga SIMBA na Yanga robo fainali ili msikimbieHilo goli la kusawazisha ni clear offside, tuna safar ndefu sana
Anacheza Kagera Sugar, Utopolo wa Vidimbwini wanalalamika.Ngap ngap uko
Safari ya kwenda wapi.Hilo goli la kusawazisha ni clear offside, tuna safar ndefu sana
mimi nilishafunga hesabu kwenye 2-1Simba 3-1 Kagera.
goli la tatu la Simba muda simrefu litafungwa.
watawapa wachezaji fatigue sasaa. na inaonekana kocha ameshajua aina ya mashabiki wa kitanzania ndio maana anaogopoa kupoteza mechi.hii gemu sio ya kuanza na kikosi cha kwanza, hata ukipoteza haina madhara yoyote ,ukilinganisha na kupoteza gemu zilizo mbeleni. malengo yetu ni nusu fainali ya champions league na kuchukua ligi. haya mengine ziada tunadhani makadirio ya kocha ilikua kupata mabao ya mapema halafu kipindi cha pili kiingie kikosi kwa ajili ya ku defense ushindi
Futa post hii, subiri hadi litokee. Unawamislead wanaotegemea updates za hapaSimba 3-1 Kagera.
goli la tatu la Simba muda simrefu litafungwa.
Simba ikikutangulia ndio zakeNi wakati wa Biriani...Hii Simba SC hatari sana.
We kumbe shabiki uchwara mkuuMeddie Kagere
I apologize 🙁
Uzi umeupozesha sana. Updates zinatakiwa mara kwa mara siyo kusubiri goli tu. Wengine tuko barabarani tunategemea kutoka kwako, tafadhali.Patashika ya Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC) linapigwa leo Mei 1, 2021 saa 1 usiku kwenye Uwanja wa Mkapa, ambapo Mabingwa Watetezi, Simba SC wanakwaruzana na Kagera Sugar katika mchezo wa hatua ya 16 ya michuano hiyo.
========
Naaaam mpira umeanza uwanja wa Mkapa.
15' Mchezo ni mkali Wanaume hawa wanapambana lakini Simba SC wanamiliki mpira huku wakikosa nafasi nyingi zaidi kuliko Kagera Sugar
25' Kagera Sugar hawajaleta hatari zaidi kwa Simba, kama ambavyo Simba SC wanajaribu kutafuta bao
Simba SC 0-0 Kagera Sugar
40' Free Kick kuelekea Kagera Sugar, anapiga Wawaaaaa, golikipa anatema shuti lile.
42' Kagera Sugar wanakosa utulivu wa kuweka wavuni mpira, Mayanga alifanya kazi nzuri ya kumpiga chenga Wawa.
Golikipa wa Kagera Chalamanda anaonyeshwa Kadi ya Njano kutokana na kupoteza muda.
45' Goooooooooooooooooooooal
Erick Mwijage anaipatia Kagera Sugar bao la kwanza akiunganisha krosi ya kichwa
Simba SC 0-1 Kagera Sugar
Vitals Mayanga anaonyeshwa Kadi ya Njano baada kuzuia mpira usipigwe.
Naaaam mpira ni mapumziko ambapo Kagera Sugar wapo mbele kwa bao moja.
HT, ASFC; Simba SC 0-1 Kagera Sugar
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Mkapa, na Ametoka Taddeo na ameingia Morrison upande wa Simba SC.
Free Kick kuelekea Kagera Sugar, anapiga Chamaaa loooooo golikipa anatema na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda.
54' Ametoka Bwalya na ameingia Bocco upande wa Simba SC
55' Morrisoon Gooooooooooooaaal Gooooooaaal
Bernard Morrison anaipatia Simba bao la kusawazisha kazi nzuri ya Miquissone.
Simba SC 1-1 Kagera Sugar
Miquissone anaachia shutiiiiii kali, lakini mpira unatoka nje na kuwa Goal Kick.
67' Kagere Goooooooooooooaaal Gooooooaaal
Maddie Kagere anaipatia Simba SC bao la pili, akipokea pasi safi kutoka kwa Morrison
Simba SC 2-1 Kagera Sugar
Ametoka Mwijage na ameingia Seseme upande wa Kagera Sugar. Na ametoka Maddie Kagere na ameingia Nyoni upande wa Simba SC
Nimefuta.Futa post hii, subiri hadi litokee. Unawamislead wanaotegemea updates za hapa
Utopolo unateseka ukiwa wapi?Hilo goli la kusawazisha ni clear offside, tuna safar ndefu sana