OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
huyo jamaa kanishangazaKwani Simba ni timu ndogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo jamaa kanishangazaKwani Simba ni timu ndogo
Hivi leo Simba wamepiga pasi ngapi maana nilihesabu nikapotea njiani
Mimi niliishia 30Hivi leo Simba wamepiga pasi ngapi maana nilihesabu nikapotea njiani
Tulia ww wasubilini Kaiza Chiefs waje kuwanyoa hivi vimechi vidogo havina maanauwanja unaharibu pira biryan
Tarehe 8 Lwanga anakuwa full na Mkude,sijui watapita wapi UtopoloLeo nimemuona Mkude yule ninaemfahamu..alikuwa vizuri Sana.
Kazi ilikuwaje lakin?wametupa kazi ya kuwafunga 2-1
Mlisema hivyo hivyo kwa vita na ahyl lakini tuliwachinjia kwa Mkapa.Tulia ww wasubilini Kaiza Chiefs waje kuwanyoa hivi vimechi vidogo havina maana
Unaizungumzia Kaiza iliyopita kimazabe baada ya Waydad kupeleka timu B?Tulia ww wasubilini Kaiza Chiefs waje kuwanyoa hivi vimechi vidogo havina maana
misuko suko ndio mwendo wa ngalawaKazi ilikuwaje lakin?
safari hii tunaingia nusu kiujeje sana
Duuuu! KinglezaQourter final
wakicheza na wenzao hawachezi hivi[emoji1474].....ila Kagera mpira waliocheza first half leo, inashangaza wanakuwaje nafasi ya 16 kwenye msimamo wa VPL!
Wewe utakua utopoloDuuuu! Kingleza
ukimuangalia kapombe alivyo ruka unaweza dhani ni stephen chau wa kwenye shaulin soccerwakicheza na wenzao hawachezi hivi
Au unaweza sema Spiderman kaamua Kuibukia Simba......!ukimuangalia kapombe alivyo ruka unaweza dhani ni stephen chau wa kwenye shaulin soccer
View attachment 1770413
Unafunga macho ukipiga header .. huyu tayari ni mzee.ukimuangalia kapombe alivyo ruka unaweza dhani ni stephen chau wa kwenye shaulin soccer
View attachment 1770413
Mkataba unaisha lazima ajitumeLeo nimemuona Mkude yule ninaemfahamu..alikuwa vizuri Sana.