Uwanja wa Mpira Dodoma umeyeyuka? Hayati Magufuli angekuwepo ingekuwaje?

Uwanja wa Mpira Dodoma umeyeyuka? Hayati Magufuli angekuwepo ingekuwaje?

Umejiona umeaandiikaaa, kumbe utumbo tupu.
Elewa tu kila mtu amepewa uwezo wake wa namna ya kufikili na kutekeleza mambo.. Kama hulielewi hili utabaki na mawazo yako hayo ya kuzani wote tuko sawa.

Uongozi uliopo ufanye jukumu la kufuatilia ahadi hii.. kama ni ahadi hewa basi waje watuambia. La sivyo tutawaona kama walamba asali tu.
Tatizo lako umetawaliwa na mahaba na chuki zisizo na faida ktk maisha yako. Siwezi kuendelea kubishana na wewe maan tayari nimeshakujua unachosimamia na unachoabudu.
 
Kamfufue aje kujenga..... huo uwanja uliahidiwa tangia 2016 lakini kwa miaka yote haikujengwa mpaka Magufuli anakufa mwaka 2021 na ukaona ni sawa, leo hii ndio unakumbuka kuhoji
Msukule wa Chato
 
Kwani mpaka useme flani angekuwepo. Hivi mlilogwa na nani Watanzania au huyo unaemsema yeye alikuwa na utofauti gani na wanadamu wengine. Kwani wewe unashindwa nini kufuatilia hizo pesa Uarabuni uje ujenge huo uwanja au na wewe umeshakufa. Kuamini kwamba bila mtu flani huwezi lolote ni uzwazwa wa kumuabudu binadam mwenzio. Unatakiwa kupaza sauti ili hayo unayotaka yatimie ila siyo kulalamika na kusema bora angekuwepo flani. Kwa hiyo Viongozi waliopo madarakani kwa sasa huoni wanayofanya au unataka huyo Mwarabu aitwe aje Tz kujibu kwa nini hajengi uwanja. Kumbuka hizo zilikuwa ahadi na pesa ni zake huwezi kumpangia. Km angekuwa ametoa pesa taslim na uwanja haujahengwa hapo ndiyo ungekuwa na nguvu ya kulaum na kutamani aliepita bora angekuwepo lakini siyo kwa ahadi hewa za Mwarabu. Tuache mahaba niue kwenye mambo ya kitaifa.
Ni kweli huo uwanja inatakiwa kuhojiwa ila Hoja yake imepoteza uzito baada ya kuonyesha siasa za u-team na kuabudu mtu, ambaye naye alikwama kuutekeleza kwa kipindi kirefu
 
Isijekuwa alipewa akazihamishia miradi ya kuijenga Chato?
Yule Mfalme Ni Janjajanja Nyingi Tu, Hakutoa Cash Yoyote
Alichotoa Ni Ile Cash Ya Msikiti Pale Kinondoni Nayo Pia Ndani Ina Ukakasi Kidogo
 
Hujasikia juzi wamezidisha USD 3B kwenye silaha wanazopeleka Ukraine? Waliposhtukiwa wakasema wamekosea tarakimu kwenye uandishi? Nao ni wezi tu!

Kama Mawaziri na Mkuu wanavyotumia maDC na maRC kupiga hela ndio na wao wanavyotumia nchi za Afrika na zenye migogoro kupiga hela
Irrelevant.
 
Angalia hii Picha afu nambie iwapo mwamba angekuwa hai Dodoma pangekuwa pamefikia hatua gani?

Ujenzi huu ulitakiwa Kuanzia mara baada tu ya Ujenzi w msikiti wa BAKWATA pale Kinondoni. Mfadhiri alishaahidi kutoa pesa.. mfalume wa Morocco.

Ushauri wangu kwa Ikulu; Fuatilieni hii ahadi.

View attachment 2630021
Mnashabikia vitu visivyo kuwa na tija, Badala muwaze wakulima.wanawezeshwa vipi au Graduate wanawezesheswa vipi mnawaza viwanja?

Kwa zile nchi wanazo tupa misaada mambo ya viwanja ni kazi ya private company na sio Serikali
 
Mimi naona Serikali iingilie tu kati kuujenga huo uwanja. Maana yule Mfalme wa Morocco alimuingiza chaka mbaya Rais wetu wa wakati huo.
Una toja gani? Usha wahi kuwaza Serikali iingile kato kutoa mikopo kwa Graduatevwalio jazana mitaani? Akili za ajabu sana hizi, Impact ya huo uwanja ni ipi kwa uchumi wa nchi?
 
Mnashabikia vitu visivyo kuwa na tija, Badala muwaze wakulima.wanawezeshwa vipi au Graduate wanawezesheswa vipi mnawaza viwanja?

Kwa zile nchi wanazo tupa misaada mambo ya viwanja ni kazi ya private company na sio Serikali
Na wewe anzisha huo Uzi Wala hujakatazwa. Hata tunakumbusha pesa ambayo tayari ipo kwa mfalme.
 
Tatizo lako umetawaliwa na mahaba na chuki zisizo na faida ktk maisha yako. Siwezi kuendelea kubishana na wewe maan tayari nimeshakujua unachosimamia na unachoabudu.
Kukumbusha ni chuki?
 
Msikiti ushajengwa, hiyo nyingine ziada...
 
Angalia hii Picha afu nambie iwapo mwamba angekuwa hai Dodoma pangekuwa pamefikia hatua gani?

Ujenzi huu ulitakiwa Kuanzia mara baada tu ya Ujenzi w msikiti wa BAKWATA pale Kinondoni. Mfadhiri alishaahidi kutoa pesa.. mfalume wa Morocco.

Ushauri wangu kwa Ikulu; Fuatilieni hii ahadi.

View attachment 2630021
ANGEYEYUKA.
 
Angalia hii Picha afu nambie iwapo mwamba angekuwa hai Dodoma pangekuwa pamefikia hatua gani?

Ujenzi huu ulitakiwa Kuanzia mara baada tu ya Ujenzi w msikiti wa BAKWATA pale Kinondoni. Mfadhiri alishaahidi kutoa pesa.. mfalume wa Morocco.

Ushauri wangu kwa Ikulu; Fuatilieni hii ahadi.

View attachment 2630021
Hauna maana japo ungeanza kujengwa Kwa jinsi yule Jamaa anavyopenda vitu visivyo na Tija Kwa watu wengi lazima saizi ungeanza kujengwa..
 
Angalia hii Picha afu nambie iwapo mwamba angekuwa hai Dodoma pangekuwa pamefikia hatua gani?

Ujenzi huu ulitakiwa Kuanzia mara baada tu ya Ujenzi w msikiti wa BAKWATA pale Kinondoni. Mfadhiri alishaahidi kutoa pesa.. mfalume wa Morocco.

Ushauri wangu kwa Ikulu; Fuatilieni hii ahadi.

View attachment 2630021
Uwanja wao wenyewe wa Mohammed V haufikii huo. Halafu uwanja wa mpira hakitakiwi kuwa kipaumbele huko Dodoma kwa sasa bali miundombinu ya kisasa kuwezesha serikali ifanye kazi kwa ufanisi.
 
Kukumbushia siyo shida, shida ni kusema angekuwa flani angekuwa ameshafanya. Maanake ni kuwa waliopo hawafai
Kwani huoni huo uwanja wameuzika wakati Ramani hiyo hapo mwamba kapiga nayo picha?
 
Back
Top Bottom