Uwanja wa Mpira Dodoma Utagharimu Bilioni 310. Utabeba Watazamaji 32000

Watu wanajipigia tu huku wakimsifu mtu fulani na yeye bichwa linakuwa kuubwa kumbe wenzake wanalifanya bwege mtozeni.
Uwanja wa watu 12,000 utagharimu vipi bilioni 310!
 
Ujenzi wa Uwanja mpya wa mpira wa miguu jijini Dodoma unapigwa vita sana na mtaalamu wa "return of investiment" Kiranga, mzee unalizungumziaje hili?
 
Watu Elfu 32 apo ndipo walipozingua ina maana baada ya miaka 10 huo uwanja utakuwa Useless watatenga tena bajeti ya billion 500 kuupanua.
Hawa viongozi wetu ni Mambulula kweli na ni wezi mnoooo
 
Shida kandarasi ya kiitaliano Europe, Huwa Wana bei mno, mchina huo anajenga Kwa 150b. Pili watu 32000 wanatosha mana watanzania kujaza uwanja ni nadra, pia Lissu atakuwa Rais wa Tanzania
 
Ujenzi wa Uwanja mpya wa mpira wa miguu jijini Dodoma unapigwa vita sana na mtaalamu wa "return of investiment" Kiranga, mzee unalizungumziaje hili?
Wewe ngumbaru "return of investment" ni nini?

Usiniambukize ujinga hapa.
 
Ukikamilika ramani inakuwa tofauti kabisa na ramani ya mwanzo.Ni kama fly over ya ubungo ilikuwa ramani nzuri sana lakini alipofariki magufuli wakaichakachua na kutujengea msalaba.flyover ya hovyo sana kuwahi kujengwa duniani.
 
sorry,kadri ulivyonielewa unaweza ukaelimisha jamii ya humu jukwaani. karibu mkuu
Nimeshaandika sana, wapi ambapo hujaelewa?

Kwanza, sijapiga vita ujenzi wa kiwanja cha mpira, nilisisitiza umuhinu wa mfumo wa kujenga viwanja kibiashara zaidi na umuhimu wa kupata "return on ivestment" na uwanja kuweza kujiendesha wenyewe kibiashara, as opposed to kutegemea ruzuku za serikali.
 
serikali imepitisha rasmi sasa ujenzi wa uwanja huo,je una chochote cha kushauri,maoni na nyongeza juu ya uwanja huu? cc: Kiranga
 
serikali imepitisha rasmi sasa ujenzi wa uwanja huo,je una chochote cha kushauri,maoni na nyongeza juu ya uwanja huu? cc: Kiranga

..sekta binafsi hawawezi kujenga huo uwanja?

..billion 300 kujenga uwanja wa mpira ni matumizi mabaya ya fedha za umma.
 
..sekta binafsi hawawezi kujenga huo uwanja?

..billion 300 kujenga uwanja wa mpira ni matumizi mabaya ya fedha za umma.
Ndio wanaojenga

Government itawalipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…