Wewe utajenga kwa shilling ngapi? weka kiasi unachodhani ni sahihi tujadili. Kama wewe ndio mkandarasi utaweka kiasi gani tupe hapa tujuwe...BILLIONI 310?
..sio sahihi hata kidogo.
..tulitaka nani wajenge? Hata CCM wana viwanja vya mpira, ikiwemo Kirumba.
-Watanzania wanapenda soka.Faida ipi kwa taifa bora wangenunulia matrekta wagawieni vijana
-Watanzania wanapenda soka.
-Asilimia zaidi ya 70 ya maongezi ya watanzania wanajadili mpira.
-Media karibu zote zinauza zaidi habari zinazojadili mpira kuliko chochote.
-Hakuna event yeyote inayoweza kuwaleta watu pamoja 60,000+ wakiwa wamejilipia wenyewe zaidi ya soka..sio siasa, sio muziki, sio dini, nk
Acha wapewe wanachokitaka.
Wewe utajenga kwa shilling ngapi? weka kiasi unachodhani ni sahihi tujadili. Kama wewe ndio mkandarasi utaweka kiasi gani tupe hapa tujuwe.
Nchi ina watu Mil 68 hatuwezi kuwa na vipaumbele vilivyofanana, miundo mbinu ni muhimu sana katika nchi yoyote na viwanja vya mpira ni muhimu sana tu kama yalivyokuwa mambo mengine muhimu. Michezo ni ajira na assets huu uwanja utaingiza mapato japo kuwa sio malengo kuwa biashara lakini unaingiza. Hatuwezi kuwa na nchi tuna viwanja vibovu, sisemi kama hakuna mambo mingine muhimu lakini tukianza hivi basi kesho nitasema SGR haina umuhimu bora tufanye vitu vingine siku nyingine tutasema ndege sio muhimu na haitaisha...hoja yangu ni kwamba tungeweza kutumia BILLIONI 310 kwa mambo na vipaumbele vya maana zaidi.
Nchi ina watu Mil 68 hatuwezi kuwa na vipaumbele vilivyofanana, miundo mbinu ni muhimu sana katika nchi yoyote na viwanja vya mpira ni muhimu sana tu kama yalivyokuwa mambo mengine muhimu. Michezo ni ajira na assets huu uwanja utaingiza mapato japo kuwa sio malengo kuwa biashara lakini unaingiza. Hatuwezi kuwa na nchi tuna viwanja vibovu, sisemi kama hakuna mambo mingine muhimu lakini tukianza hivi basi kesho nitasema SGR haina umuhimu bora tufanye vitu vingine siku nyingine tutasema ndege sio muhimu na haitaisha.
Kikubwa kila jambo linatengewa budget yake sasa kama kuna la muhimu lilitakiwa lisemwe litafutiwe budget. miundo mbinu kwa nchi yoyote muhimu na uwanja wa michezo ni muhimu ndio maana huwezi kwenda mkoa wowote Tanzania hii ukakosa uwanja wa michezo.
Nchi ina watu Mil 68 hatuwezi kuwa na vipaumbele vilivyofanana, miundo mbinu ni muhimu sana katika nchi yoyote na viwanja vya mpira ni muhimu sana tu kama yalivyokuwa mambo mengine muhimu. Michezo ni ajira na assets huu uwanja utaingiza mapato japo kuwa sio malengo kuwa biashara lakini unaingiza. Hatuwezi kuwa na nchi tuna viwanja vibovu, sisemi kama hakuna mambo mingine muhimu lakini tukianza hivi basi kesho nitasema SGR haina umuhimu bora tufanye vitu vingine siku nyingine tutasema ndege sio muhimu na haitaisha.
Kikubwa kila jambo linatengewa budget yake sasa kama kuna la muhimu lilitakiwa lisemwe litafutiwe budget. miundo mbinu kwa nchi yoyote muhimu na uwanja wa michezo ni muhimu ndio maana huwezi kwenda mkoa wowote Tanzania hii ukakosa uwanja wa michezo.
Lazima mzubaishwe-Watanzania wanapenda soka.
-Asilimia zaidi ya 70 ya maongezi ya watanzania wanajadili mpira.
-Media karibu zote zinauza zaidi habari zinazojadili mpira kuliko chochote.
-Hakuna event yeyote inayoweza kuwaleta watu pamoja 60,000+ wakiwa wamejilipia wenyewe zaidi ya soka..sio siasa, sio muziki, sio dini, nk
Acha wapewe wanachokitaka.
Mkuu, Waafrika tuna namna zetu za kufikiri. Sad!..bajeti ya kilimo ni Billion 970.
..ujenzi uwanja wa mpira Billion 310
..(310÷970) × 100 = 31.96%.
..sidhani kama ni busara kutumia fedha sawa na 32% ya bajeti ya kilimo kujenga uwanja wa mpira.
Cc Nguruvi3
Ule ulitengenezwa kwa Bil 500bilioni 300! ni uwanja kama.wa mkapa! 60,000 watazamaji!
Huwa sielewi kwa nini hatufikirii miaka 30 ijayo population ya Tanzania itakuwa na watu millioni 150 huo uwanja utakuwa mdogo sanaMy Take
Bilioni 352 ni gharama ndogo ,Watazamaji wa Kukaa 32,000 tuu?
Bora tungejenga taratibu taratibu ila uwanja ambao walau utabeba Watazamaji 45,000 Kwa about 450Bln👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DGBA_VYO4-2/?igsh=cWhiZG1pMXZtZDE0View attachment 3235532View attachment 3235533View attachment 3235534View attachment 3235535View attachment 3235536View attachment 3235537View attachment 3235538View attachment 3235539
Pia soma Bilioni 286 kujenga uwanja Mpya wa 'Samia Suluhu Hassan Arusha Stadium' Kwa ajili ya AFCON 2027
Ilani: Mods badilisheni heading isomeke ,Uwanja wa Dodoma kugharimu Bilioni 352 na utakuwa na uwezo wa kuchukua Watazamaji 32,000 na sio 12,000
View: https://www.instagram.com/p/DGBQT34IpgK/?igsh=NTYwOXFrMzZ3dnpv
Kilimo hiyo ndio budget yake imepangwa kutokana na mahitaji yake kwa mwaka haijapunguzwa kutokana na ujenzi huu pia hiyo 970 Bill ni kwa mwaka kwa miaka miwili almost 2 Trillion hiyo 310 ya kiwanja ni total cost 310 Billion ujenzi wa miaka miwili kwa maana hiyo mwaka inatoka 155 Billion so hesabu zako sio sawa...bajeti ya kilimo ni Billion 970.
..ujenzi uwanja wa mpira Billion 310
..(310÷970) × 100 = 31.96%.
..sidhani kama ni busara kutumia fedha sawa na 32% ya bajeti ya kilimo kujenga uwanja wa mpira.
Cc Nguruvi3
Huwa sielewi kwa nini hatufikirii miaka 30 ijayo population ya Tanzania itakuwa na watu millioni 150 huo uwanja utakuwa mdogo sana
Kilimo hiyo ndio budget yake imepangwa kutokana na mahitaji yake kwa mwaka haijapunguzwa kutokana na ujenzi huu pia hiyo 970 Bill ni kwa mwaka kwa miaka miwili almost 2 Trillion hiyo 310 ya kiwanja ni total cost 310 Billion ujenzi wa miaka miwili kwa maana hiyo mwaka inatoka 155 Billion so hesabu zako sio sawa.
Sio kila mtu mkulima kuna gari bei kubwa kuliko nyumba utasema gari muhimu kuliko nyumba. wizara ya kilimo ina budget yake pesa ya uwanja haijatoka kwenye budget ya kilimo shida iko wapi? mchezaji mpira analipwa kuliko Dr au Eng sio issue kawaida tu. Hatuwezi sote kuwa wakulima tu sasa kwa wewe mkulima umepunjwa nini? wewe kila mwaka una budget 970 billion uwanja ni miaka miwili tu sasa chukuwa life span ya uwanja chukuwa pesa hiyo gawa ndio thamani yake...OK.
..ngoja niweke mahesabu vile unavyotaka.
..Je, ni busara gharama za ujenzi wa uwanja wa mpira kuwa sawa na asilimia 15% ya bajeti ya kilimo?
..Zingatia kwamba kilimo ndio sekta inayogusa watu wengi zaidi hapa nchini.
Sio kila mtu mkulima kuna gari bei kubwa kuliko nyumba utasema gari muhimu kuliko nyumba. wizara ya kilimo ina budget yake pesa ya uwanja haijatoka kwenye budget ya kilimo shida iko wapi? mchezaji mpira analipwa kuliko Dr au Eng sio issue kawaida tu. Hatuwezi sote kuwa wakulima tu sasa kwa wewe mkulima umepunjwa nini? wewe kila mwaka una budget 970 billion uwanja ni miaka miwili tu sasa chukuwa life span ya uwanja chukuwa pesa hiyo gawa ndio thamani yake.