Uwanja wa mpira ulioahidiwa kujengwa na Mfalme wa Morocco utajengwa kweli? Na kama utajengwa, utajengwa eneo la Nzuguni kama tulivyoambiwa?

Uwanja wa mpira ulioahidiwa kujengwa na Mfalme wa Morocco utajengwa kweli? Na kama utajengwa, utajengwa eneo la Nzuguni kama tulivyoambiwa?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Tangu ahadi hii itolewa,nadhani sasa ni miezi tisa inakatika huku hakuna kinachoendelea kuhusu ujenzi wenyewe na kwa wale wanaotumia barabara ya Dar-es-Salaam kwenda Dodoma, watakuwa ni mashahidi wazuri kwani lile eneo lilliotengwa kwa ajli ya ujenzi wa uwanja huo liko tu na hamna kinachoendelea.

Sasa najiuliza hivi ahadi ya kujenga huo uwanja ipo na kama ipo, utajengwa eneo la Nzuguni kama ilivyotangazwa au watarudisha ujenzi huo eneo la Nala kama ilivyokuwa imepangwa awali?

Au serikali haitaki kuwa wazi ili viwanja vinavyouzwa eneo la Nzuguni vipate soko na viendelee kuuzwa kwa bei kubwa?

Ujenzi wa uwanja huu ulipangwa kutuchukua muda wa miaka miwili na nusu na kwamba ulipangwa kukamilika mwaka 2021 huku Rais akitaka ujenzi huo uanze haraka na kwamba alikuwa tayari kuchangia chochote (maelezo ya Injinia Patric Mfugale kwa waandishi wa habari).

Nawaomba waheshimiwa Wabunge waiulize serikali Bungeni katika Bunge lijalo litakaloanza mwezi January juu maendeleo ya utekelezaji wa ahadi hii ya Mfalme wa Morocco wa kujenga uwanja wa soka hapa nchini.

Uwanja wenyewe ni huu katika picha:

1577631623646.png


Picha za makabidhiano ya ramani ya uwanja Ikulu:

1577631787836.png


Video:

 
Huu uwanja Aliudizain jamaa yangu amesomea Architecture pale Ardhi University, ilikuwa ni project yake ya mwaka wa mwisho

Concept aliyotumia ni ya Mlima kilimanjaro, sasa kama ma lecture wamechukua tenda wakapiga pesa naomba wasimsahau jamaa kwasababu ni idea yake
........
Wamshirikishe japo wakati wakiwa wanafanya detailing ili walau apate chochote ili elimu yake na yeye imlipee....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uwanja Aliudizain jamaa yangu amesomea Architecture pale Ardhi University, ilikuwa ni project yake ya mwaka wa mwisho

Concept aliyotumia ni ya Mlima kilimanjaro, sasa kama ma lecture wamechukua tenda wakapiga pesa naomba wasimsahau jamaa kwasababu ni idea yake
........
Wamshirikishe japo wakati wakiwa wanafanya detailing ili walau apate chochote ili elimu yake na yeye imlipee....

Sent using Jamii Forums mobile app
Taja jina lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hofu yangu kuna makubaliano hayakutekelezwa na serikali yetu
 
Tangu ahadi hii itolewa,nadhani sasa ni miezi tisa inakatika huku hakuna kinachoendelea kuhusu ujenzi wenyewe na kwa wale wanaotumia barabara ya Dar-es-Salaam kwenda Dodoma, watakuwa ni mashahidi wazuri kwani lile eneo lilliotengwa kwa ajli ya ujenzi wa uwanja huo liko tu na hamna kinachoendelea.

Sasa najiuliza hivi ahadi ya kujenga huo uwanja ipo na kama ipo, utajengwa eneo la Nzuguni kama ilivyotangazwa au watarudisha ujenzi huo eneo la Nala kama ilivyokuwa imepangwa awali?

Au serikali haitaki kuwa wazi ili viwanja vinavyouzwa eneo la Nzuguni vipate soko na viendelee kuuzwa kwa bei kubwa?

Ujenzi wa uwanja huu ulipangwa kutuchukua muda wa miaka miwili na nusu na kwamba ulipangwa kukamilika mwaka 2021 huku Rais akitaka ujenzi huo uanze haraka na kwamba alikuwa tayari kuchangia chochote (maelezo ya Injinia Patric Mfugale kwa waandishi wa habari).

Nawaomba waheshimiwa Wabunge waiulize serikali Bungeni katika Bunge lijalo litakaloanza mwezi January juu maendeleo ya utekelezaji wa ahadi hii ya Mfalme wa Morocco wa kujenga uwanja wa soka hapa nchini.

Uwanja wenyewe ni huu katika picha:

View attachment 1306591

Picha za makabidhiano ya ramani ya uwanja Ikulu:

View attachment 1306595

Video:


Kujenga jenga tu yan,

Jamaa anapenda kujenga kisa tu ndo alikowekeza 10% za kutoka Tanroads wakati ule na sasa kutoka manunuzi yasiyojulikana ya Midege - Bombardier, Boeing, Airbus!

Halaf huwezi kusikia anajenga shule, ama hospital ama Chuo ... akijenga hivi basi inakuwa ni nyumbani kwao Chaki'toooo!
 
Back
Top Bottom