Guys i think this is quite right, kwakweli ni aibu mno kuona viwanja vya ndege vingi ulimwenguni kwa sasa vikiwa vya kisasa zaidi, kuanzia na ASIA,America,Europe na mwishowe ni huku kwetu!
Kwa afrika ya mashariki, Entebbe waliufanyia marekebisho wa kwao na kujenga termina nyingine mpya ambayo walau kidogo inapendeza na ni mwaka jana alipokuja malkia wa Uingereza na Brown kwenye commonwealth head of states meeting lakini pia nenda kaangalie Jomo Kenyatta sio sawa na wakwetu kabisa kinachosikitisha wakati mwingine ukiwa umekaa kwenye lounge umeme unakatika na ni adha kubwa kweli.
Nimetoka jana Lagos - Mohamed Mutalla airport na kwakweli jamaa wameubadilisha pia, nilikuwa huko last year!
Ninachojaribu kusema ni kuwa, there are alot of changes that our african airports are trying to do at the moment including having new premises and runways! Tanzania tunahitaji kwa hali na mali, moja kwa utalii wa nje na ndani, biashara na mengineyo yatakayo ajiri watanzania wengi mno.
Si mbaya kupata mwekezaji ambaye ataufanya uwe wa kisasa zaidi, airport nyingi tu zimefanyiwa ubinafsishaji tunachohitaji kutoka kwa viongozi wetu ni kuhakikisha mageuzi haya yanafanyika yakituacha na kitu badala ya hohehahe.
I trust JF, tuseme ubinafsishaji upite ila ufisadi kwenye hii project usiwepo kwa level yoyote ile!
Aviation industry is a driving force to boosting our tourism industry if is managed with professionals and honesty!