Uwanja wa New Jos | Ligi ya Mabingwa Afrika' Plateau United Vs Simba SC

Ule unga wao bora wangeutumia kukorogea uji saizi wangekua wameweka chochote tumboni maana uwanjani hawajaweka chochote

Sometimes bora uuziwe mbuzi kwenye gunia kuliko kuuziwa gunia lisilo na mbuzi. Hasara mara mbili
 
Ngoja niwawekeeni link muangalie mpira wote, weka kifurushi cha 3.000 kwenye desk-top au laptop hata simu za kupalaza utafaidi, tigo au airtail moderm ni sawa tu
 
Tumechoka Kushindwashindwa
Tunataka Ushindi πŸ˜€πŸ˜πŸ‘πŸ™πŸ™πŸ™
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Wamejaribu sana waliangalia mechi za mnyama wakaona kuna mtu anaitwa clotous chota chama, triple c, mwamba wa lusaka, ball dancer, Mara hawajakaaa sawa wakamuona kondeee booyyyyyy, huku na kule top scorer John Raphael bocco haramu, de captain kutazama langoni wanamuona the GOAT Tanzania one aish salum mwana wa manula... a.k.a air manula

Wakaamua waseme wanaumwa corona [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…