Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
Uwanja wa Arsenal unaitwaje Ndugu yangu?Uwanja wa Man City unaitwaje mkuu??Uwanja Kutumia jina la Mdhamini/Mwekezaji badala ya jina la Timu/Klabu hiyo sio Sahihi. Uwanja ulipaswa kuitwa Simba SPorts Club Arena sio MO Arena!
Sent using Jamii Forums mobile app