Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Acha wafu wazikanewote tunajua kwamba simba walinunua eneo huko Bunju na kuanza ujenzi wa uwanja wa mpira . uwanja ule ulifikia hatua ya kuagiza nyasi bandia toka china. nadhani bwana pop anakesi juu ya jambo hilo.
chakushangaza juzi bwana Mo aliweka jiwe la msingi huko Bunju kwa ajili ya uwanja huu. swali
1. bwana mo anajenga uwanja upi huo, je ule wa mwanzo uliishia wapi
2. bwana mo anadai anatoa pesa yake mfukoni nje ya ile bilion 20. kwanini atoe pesa yake mfukoni wakati ile bil.20 ni kwa ajili ya uwekezaji na uwanja ni sehemu ya uwekezaji?
TUWE MAKINI NA FURAHA ZA MUDA MFUPI NASIMAMA NA MZEE KILOMONI
Mbumbumbumbu daima atabaki kuwa mbumbumbumbu tuWanaenda uwanjani hawajui timu yao inacheza na timu ipi. Kweli mbumbumbu
View attachment 1175599
Ndiyo maana wanasiasa hawataki hizi timu ziwe na viwanja maana wengi wanajenga kupitia hizi timuSIMBA na uwanja wao, YANGA wao, AZAM wao, vile viwili vya TAIFA vitakuwa vya SHEREHE ZA UHURU na MUUNGANO?
Pesa anayotoa lazima ataihusisha na 20 bilioni au atadai mambo yakienda kombo HAKUNA CHA BURE! !!Fatilia Simba Kwanza, ndo utajua taarifa zao,pale vinajengwa viwanja viwili wa nyasi bandia na Wanyasi za kawaida vyote ujenzi unaendelea jumatatu ilikua kuzindua rasmi ujenzi unaofanyika
Kwahiyo ulitaka asinufaike anufaike nani babako kilomoni ambaye ata 100 hatoi zaidi ya maneno na ndumbahata vingekuwa 100 lakini mo dewj ananufaika na ufukara/hasa wa fikra zetu tuliowengi.
Kilaza kweli kweli. Unadhani Kilomoni mpira anausikia kwenye redio kama wewe? Kilo Boy kaupiga sana pale Msimbazi kipindi hicho hata mimba zenu hazijatungwa. Nyie mnajua kumshangilia Mhindi tu, hata historia ya klabu yenu hamuijui"Usipotafuta pesa ujanani, uzeeni utakua kilomoni"
unazindua ujenzi unaoendelea. unajua maana ya uzinduzi lakini
Hujielewi
Umeuliza swali kwamba ni kiwanja gani?Halafu unajijibu kwamba ujenzi unaendelea Huo ujenzi unaoendelea ni wa zahanati au wodi ya wazazi?unazindua ujenzi unaoendelea. unajua maana ya uzinduzi lakini
Tukimshabikia muhindi nyie kwasukwasu yanawahusu nini...mnaumia??? na timu lenu lenye njaaa lile.. π π π π ...kwa kuwa yanga mnampenda sana kilomoni basi tumewapa mchukueni aje kuungana na mzee akilimali muwakabidhi timu lenu lile lenye bovu lenye njaa tele wakiungana na kocha lenu lopolopo la congo yanga lazima mchukue ubingwa wa africa mwaka huuKilaza kweli kweli. Unadhani Kilomoni mpira anausikia kwenye redio kama wewe? Kilo Boy kaupiga sana pale Msimbazi kipindi hicho hata mimba zenu hazijatungwa. Nyie mnajua kumshangilia Mhindi tu, hata historia ya klabu yenu hamuijui
Naona povu zito la makwasukwasu fc π π π π ...sisi yanga tuna uwanja wetu pale jangwani tulioujenga katikati ya madimbwiHAMNA UWANJA PALE
Hoji zile Tr.1.5 zina maslahi mapana kuliko za uwanja wa Simba.wote tunajua kwamba simba walinunua eneo huko Bunju na kuanza ujenzi wa uwanja wa mpira . uwanja ule ulifikia hatua ya kuagiza nyasi bandia toka china. nadhani bwana pop anakesi juu ya jambo hilo.
chakushangaza juzi bwana Mo aliweka jiwe la msingi huko Bunju kwa ajili ya uwanja huu. swali
1. bwana mo anajenga uwanja upi huo, je ule wa mwanzo uliishia wapi
2. bwana mo anadai anatoa pesa yake mfukoni nje ya ile bilion 20. kwanini atoe pesa yake mfukoni wakati ile bil.20 ni kwa ajili ya uwekezaji na uwanja ni sehemu ya uwekezaji?
TUWE MAKINI NA FURAHA ZA MUDA MFUPI NASIMAMA NA MZEE KILOMONI
SAWANaona povu zito la makwasukwasu fc π π π π ...sisi yanga tuna uwanja wetu pale jangwani tulioujenga katikati ya madimbwi
Unampangia? Kwani waliochangia bakuli la Kubwa Kuliko, walisema pale ndio mwisho wa kuchanga, kwamba hawawezi kuchanga kiwango kingine nje ya hicho?... bwana mo anadai anatoa pesa yake mfukoni nje ya ile bilion 20. kwanini atoe pesa yake mfukoni wakati ile bil.20 ni kwa ajili ya uwekezaji na uwanja ni sehemu ya uwekezaji?
chakushangaza juzi bwana Mo aliweka jiwe la msingi huko Bunju kwa ajili ya uwanja huu.
Endelea kusimama na Kilomoni, Simba inasimama na serikali:... NASIMAMA NA MZEE KILOMONI
Nawapa hongera sana hawa mashabiki, maana wanaenda kuiangalia timu yao bila kujali inaenda kucheza na nani! Kuna watu hapa waliposikia Kariobangi (mechi ya kirafiki), wakajua watashinda, wakajitutumua kwenda uwanjani. Waliposikia Township Rollers (mechi ya mashindano), wakaingia hofu, hawakwenda kuishangilia timu yao. Hiyo ni akili au baridiiii? Nendeni tu mechi yoyote mkaishangilie timu yenu, tena muwe kama hao washabiki wa mnyama walioenda bila kujali wanacheza na nani!Wanaenda uwanjani hawajui timu yao inacheza na timu ipi. Kweli mbumbumbu
View attachment 1175599
wote tunajua kwamba simba walinunua eneo huko Bunju na kuanza ujenzi wa uwanja wa mpira . uwanja ule ulifikia hatua ya kuagiza nyasi bandia toka china. nadhani bwana pop anakesi juu ya jambo hilo.
chakushangaza juzi bwana Mo aliweka jiwe la msingi huko Bunju kwa ajili ya uwanja huu. swali
1. bwana mo anajenga uwanja upi huo, je ule wa mwanzo uliishia wapi
2. bwana mo anadai anatoa pesa yake mfukoni nje ya ile bilion 20. kwanini atoe pesa yake mfukoni wakati ile bil.20 ni kwa ajili ya uwekezaji na uwanja ni sehemu ya uwekezaji?
TUWE MAKINI NA FURAHA ZA MUDA MFUPI NASIMAMA NA MZEE KILOMONI