Uwanja wa Simba uliowekwa jiwe la msingi na Mo Dewj ni upi tena?

Uwanja wa Simba uliowekwa jiwe la msingi na Mo Dewj ni upi tena?

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2018
Posts
11,936
Reaction score
15,196
wote tunajua kwamba simba walinunua eneo huko Bunju na kuanza ujenzi wa uwanja wa mpira . uwanja ule ulifikia hatua ya kuagiza nyasi bandia toka china. nadhani bwana pop anakesi juu ya jambo hilo.
chakushangaza juzi bwana Mo aliweka jiwe la msingi huko Bunju kwa ajili ya uwanja huu. swali
1. bwana mo anajenga uwanja upi huo, je ule wa mwanzo uliishia wapi
2. bwana mo anadai anatoa pesa yake mfukoni nje ya ile bilion 20. kwanini atoe pesa yake mfukoni wakati ile bil.20 ni kwa ajili ya uwekezaji na uwanja ni sehemu ya uwekezaji?
TUWE MAKINI NA FURAHA ZA MUDA MFUPI NASIMAMA NA MZEE KILOMONI
 
mkuu ila naskia ile ni complex yenye viwanja zaidi ya kimoja, ila sijajua maendeleo ya huo uwanja ulioulizia!
 
Fatilia Simba Kwanza, ndo utajua taarifa zao,pale vinajengwa viwanja viwili wa nyasi bandia na Wanyasi za kawaida vyote ujenzi unaendelea jumatatu ilikua kuzindua rasmi ujenzi unaofanyika
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Zote ni za mfukoni mwake. Hata zikiitwa jina gani.
wote tunajua kwamba simba walinunua eneo huko Bunju na kuanza ujenzi wa uwanja wa mpira . uwanja ule ulifikia hatua ya kuagiza nyasi bandia toka china. nadhani bwana pop anakesi juu ya jambo hilo.
chakushangaza juzi bwana Mo aliweka jiwe la msingi huko Bunju kwa ajili ya uwanja huu. swali
1. bwana mo anajenga uwanja upi huo, je ule wa mwanzo uliishia wapi
2. bwana mo anadai anatoa pesa yake mfukoni nje ya ile bilion 20. kwanini atoe pesa yake mfukoni wakati ile bil.20 ni kwa ajili ya uwekezaji na uwanja ni sehemu ya uwekezaji?
TUWE MAKINI NA FURAHA ZA MUDA MFUPI NASIMAMA NA MZEE KILOMONI
 
wote tunajua kwamba simba walinunua eneo huko Bunju na kuanza ujenzi wa uwanja wa mpira . uwanja ule ulifikia hatua ya kuagiza nyasi bandia toka china. nadhani bwana pop anakesi juu ya jambo hilo.
chakushangaza juzi bwana Mo aliweka jiwe la msingi huko Bunju kwa ajili ya uwanja huu. swali
1. bwana mo anajenga uwanja upi huo, je ule wa mwanzo uliishia wapi
2. bwana mo anadai anatoa pesa yake mfukoni nje ya ile bilion 20. kwanini atoe pesa yake mfukoni wakati ile bil.20 ni kwa ajili ya uwekezaji na uwanja ni sehemu ya uwekezaji?
TUWE MAKINI NA FURAHA ZA MUDA MFUPI NASIMAMA NA MZEE KILOMONI
Yani hata ulichokiandika ukijui.
Ulitakiwa uulize sio kuleta lawama ya kitu usichokujua, Ujuaji ni mbaya sana,.
Ni kushauri Tafuta hotuba ya ya MO na Magori siku ya uzinduzi, kama unataka kujua ukweli
 
Yani hata ulichokiandika ukijui.
Ulitakiwa uulize sio kuleta lawama ya kitu usichokujua, Ujuaji ni mbaya sana,.
Ni kushauri Tafuta hotuba ya ya MO na Magori siku ya uzinduzi, kama unataka kujua ukweli
nilikuwepo
 
Fatilia Simba Kwanza, ndo utajua taarifa zao,pale vinajengwa viwanja viwili wa nyasi bandia na Wanyasi za kawaida vyote ujenzi unaendelea jumatatu ilikua kuzindua rasmi ujenzi unaofanyika
unazindua ujenzi unaoendelea. unajua maana ya uzinduzi lakini
 
Yani hata ulichokiandika ukijui.
Ulitakiwa uulize sio kuleta lawama ya kitu usichokujua, Ujuaji ni mbaya sana,.
Ni kushauri Tafuta hotuba ya ya MO na Magori siku ya uzinduzi, kama unataka kujua ukweli
vile ambavyo wewe ni shabiki maandazi unadhani kila mtu? muelewe kwanza kilomoni
 
SIMBA na uwanja wao, YANGA wao, AZAM wao, vile viwili vya TAIFA vitakuwa vya SHEREHE ZA UHURU na MUUNGANO?
 
Back
Top Bottom