Uwanja wa Sokoine Mbeya: Prison Tanzania 1 - 3 Yanga Afrika

Uwanja wa Sokoine Mbeya: Prison Tanzania 1 - 3 Yanga Afrika

Ndio uache kuwa unaiombea mabaya Yanga Afrika.....kila mechi tutakulaza mapema
Huyo mwongo. Anaumwa sleeping sickness halafu anaisingizia yanga kila ikishinda akalale mapema huku akijua ushindi kwa yanga ni muhimu na ni lazima.
Ataumbuka siku tukifungwa halafu homa imamkamata sijui atasingizia nini kwenda kulala mapema
 
  • Thanks
Reactions: ram
Bahati yenu leo

Sijawahi kumuona beki asiyetumia akili kama yule beki No. 5 wa Prisons...Yaani ametoka huko Nduki kuja kumpiga kichwa Ngasa wakati akijua Ngasa angepata red kwa kumpiga kichwa mchezaji wa Prison...Sasa yule no. 5 baadala ya kutulia naye anakimbiklia kupata red...ovyo kabisa...na yule Dante sijui vipi ni lazima atafungiwa tu yule...
 
Sijawahi kumuona beki asiyetumia akili kama yule beki No. 5 wa Prisons...Yaani ametoka huko Nduki kuja kumpiga kichwa Ngasa wakati akijua Ngasa angepata red kwa kumpiga kichwa mchezaji wa Prison...Sasa yule no. 5 baadala ya kutulia naye anakimbiklia kupata red...ovyo kabisa...na yule Dante sijui vipi ni lazima atafungiwa tu yule...
Hilo halikwepeki mkuu kufungiwa ni lazima nidhamu hamna pale
 
Back
Top Bottom