Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League (VPL), kuendelea kuvurumishwa leo Jumapili ya Juni 28, 2020 kwenye Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya, ambapo wenyeji Tanzania Prisons wanawakabili vinara wa ligi hiyo Wekundu wa Msimbazi, Simba SC.
Mchezo wa leo unatarajia kuwa mkali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika 90 huku Tanzania Prisons wakisema hawatakubali kuwa ngazi ya Simba SC kutangazia ubingwa kwao ambapo Simba SC ikihitaji alama moja tu kufikisha alama 79 ambazo haziwezi kufikiwa na Yanga wala Azam FC ili aweze kuchukua ubingwa wa VPL kwa mara ya tatu mfululizo.
Kwa upande wa Kocha wa Prisons Mohammed Adolph Richard amesema;
" Tunajua wakitufunga watakuwa mabingwa na hatutaki litokee hilo kwetu, hivyo tutapambana kuhakikisha tunapata matokeo ya ushindi ili kujiimarisha kwenye msimamo wa ligi kwani hata sisi hatuko salama" amesema Adolph.
Naye Kocha wa Simba SC, Sven Vanderbroeck amesema;
" Nina uhakika kesho (leo) tutacheza mchezo mzuri, kila mchezaji yupo tayari kwa mchezo na hilo ni jambo nzuri kwa kocha kuchagua mchezaji yeyote. Tutacheza kushinda na kama matokeo yakiwa chanya tutapata kitu cha ziada na hilo ndo lengo letu" amesema Sven.
Nani kuibuka mbabe? Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 10: 00 jioni, Usikose Ukaambiwa..!
....Ghazwat.. Ghazwat ....Nikiwa na Team Mnyama Mkali OKW BOBAN SUNZU sembo mmteule Viol King Ngwaba Shunie Van pebles Raynavero Troisième Ceil kenge 10 NAWATAFUNA Mtoto halali na hela Kinyungu mozila firefox Dam55
View attachment 1491102[/B]
00' Naaaam Mpira umeanza uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya VPL
Tanzania Prisons 0-0 Simba SC
25' za kipindi cha kwanza hakuna bao kwa pande zote mbili huku kila timu ikijaribu kupenga lango la mpinzani wake bila mafaniko
Tanzania Prisons 0-0 Simba SC
45+2' Kuelekea kuwa mapumziko VPL uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya
Naaaam mpira ni mapumziko huku kila timu zikitoka bila kufungana kipindi hiki cha kwanza licha kila timu kujaribu kujenga mashambulizi ambayo hayakuzaa mabao.
HT, VPL; Tanzania Prisons 0-0 Simba SC
Kipindi cha pili kimeanza vema uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya VPL
Huku Simba wakifanya mabadiliko na ametoka Ajibu, ameingia Cloutis Chama
Mchezo ni mashambulizi kwa pande zote mbili, Tanzania Prisons wakikosa umakini wanapofikia lango la Simba na Simba SC wajaribu kupenya lango la Tanzania Prisons bila mafaniko
67' Mabadiliko upande wa Simba SC, ametoka Hassan Dilunga, ameingia Luis Miquissone
70' Tanzania Prisons 0-0 Simba SC,
Bado Simba SC wajaribu kujenga mashambulizi eneo la Prisons huku Prisons katikati wakiimarika
Kichwa cha Maddie Kagere linashindwa kulenga lango la Prisons, oooooh ilikuwa hatariiiii lango la Prisons na nafasi kwa Simba kuandika bao
80' Ametoka Miraji Athumani na ameingia John Bocco upande wa Simba SC
90+6' Kuelekea kumalizika kwa mtanange huu wa VPL uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Naaaam Mpira umekwishaaaaaaa ambapo Simba SC, wanatangaza ubingwa kwani walihitaji alama moja tu kufikisha alama 79 ambazo haziwezi kufikiwa na Yanga wala Azam FC
Tanzania Prisons wanashindwa kuwazuia Simba kutangazia ubingwa hapa, kinachoelekea ni kugawana pointi moja kwa moja hii ni faida kwa Simba SC
FT, VPL Tanzania Prisons 0-0 Simba SC
.... Msimulizi wako Ghazwat....
Mchezo wa leo unatarajia kuwa mkali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika 90 huku Tanzania Prisons wakisema hawatakubali kuwa ngazi ya Simba SC kutangazia ubingwa kwao ambapo Simba SC ikihitaji alama moja tu kufikisha alama 79 ambazo haziwezi kufikiwa na Yanga wala Azam FC ili aweze kuchukua ubingwa wa VPL kwa mara ya tatu mfululizo.
Kwa upande wa Kocha wa Prisons Mohammed Adolph Richard amesema;
" Tunajua wakitufunga watakuwa mabingwa na hatutaki litokee hilo kwetu, hivyo tutapambana kuhakikisha tunapata matokeo ya ushindi ili kujiimarisha kwenye msimamo wa ligi kwani hata sisi hatuko salama" amesema Adolph.
Naye Kocha wa Simba SC, Sven Vanderbroeck amesema;
" Nina uhakika kesho (leo) tutacheza mchezo mzuri, kila mchezaji yupo tayari kwa mchezo na hilo ni jambo nzuri kwa kocha kuchagua mchezaji yeyote. Tutacheza kushinda na kama matokeo yakiwa chanya tutapata kitu cha ziada na hilo ndo lengo letu" amesema Sven.
Nani kuibuka mbabe? Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 10: 00 jioni, Usikose Ukaambiwa..!
....Ghazwat.. Ghazwat ....Nikiwa na Team Mnyama Mkali OKW BOBAN SUNZU sembo mmteule Viol King Ngwaba Shunie Van pebles Raynavero Troisième Ceil kenge 10 NAWATAFUNA Mtoto halali na hela Kinyungu mozila firefox Dam55
View attachment 1491102[/B]
00' Naaaam Mpira umeanza uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya VPL
Tanzania Prisons 0-0 Simba SC
25' za kipindi cha kwanza hakuna bao kwa pande zote mbili huku kila timu ikijaribu kupenga lango la mpinzani wake bila mafaniko
Tanzania Prisons 0-0 Simba SC
45+2' Kuelekea kuwa mapumziko VPL uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya
Naaaam mpira ni mapumziko huku kila timu zikitoka bila kufungana kipindi hiki cha kwanza licha kila timu kujaribu kujenga mashambulizi ambayo hayakuzaa mabao.
HT, VPL; Tanzania Prisons 0-0 Simba SC
Kipindi cha pili kimeanza vema uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya VPL
Huku Simba wakifanya mabadiliko na ametoka Ajibu, ameingia Cloutis Chama
Mchezo ni mashambulizi kwa pande zote mbili, Tanzania Prisons wakikosa umakini wanapofikia lango la Simba na Simba SC wajaribu kupenya lango la Tanzania Prisons bila mafaniko
67' Mabadiliko upande wa Simba SC, ametoka Hassan Dilunga, ameingia Luis Miquissone
70' Tanzania Prisons 0-0 Simba SC,
Bado Simba SC wajaribu kujenga mashambulizi eneo la Prisons huku Prisons katikati wakiimarika
Kichwa cha Maddie Kagere linashindwa kulenga lango la Prisons, oooooh ilikuwa hatariiiii lango la Prisons na nafasi kwa Simba kuandika bao
80' Ametoka Miraji Athumani na ameingia John Bocco upande wa Simba SC
90+6' Kuelekea kumalizika kwa mtanange huu wa VPL uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Naaaam Mpira umekwishaaaaaaa ambapo Simba SC, wanatangaza ubingwa kwani walihitaji alama moja tu kufikisha alama 79 ambazo haziwezi kufikiwa na Yanga wala Azam FC
Tanzania Prisons wanashindwa kuwazuia Simba kutangazia ubingwa hapa, kinachoelekea ni kugawana pointi moja kwa moja hii ni faida kwa Simba SC
FT, VPL Tanzania Prisons 0-0 Simba SC
.... Msimulizi wako Ghazwat....