Uwanja wa Sokoine | Vodacom Premier League (VPL) Tanzania Prisons Vs Simba SC

Uwanja wa Sokoine | Vodacom Premier League (VPL) Tanzania Prisons Vs Simba SC

15' Free Kick kuelekea Simba SC, wanapiga Prisons wanaokoa Simba SC
 
20' Salum Kimenya anapiga free kick kuelekea Simba SC, lakini mpira wake unatoka nje na kuwa goal kick
 
Kagere anapiga kisiginoo kwake Ajibu, Ajibu anampasia Mirajiii, Miraji anapiga kichwa oooooh Kisubi anacheza, njeee
sijaona sehemu umetwambia ile beki wa nyau fc kuunawa na refa kukausha
 
Miezi 11 nyuma nilinunua mbuzi wangu kwaajili ya kitoweo kusherehekea ubingwa endapo Simba Sports Club itabeba ubingwa msimu huu wa 2020.

Lakini cha kushangaza usiku wa jana kuamkia leo mbuzi hayupo.bandani!!!.
mimi sitaki ugomvi na mtu.ni nani kaiba mbuzi wangu?
Watakuwa utopolo wanafanya mazoezi ya kuiba kombe la ligi
 
Nyau haamini anavyo kimbizwa hapa inafaa muamala uthibitishwe kipindi cha pili tofauti na hapo ya march 8 yanajirudia
 
34' Mpira yupo chini baada ya golikipa wa Prisons kupata rabsha, amesimama mpira unaendelea

Tanzania Prisons 0-0 Simba SC
 
38' Ajibu anapiga free kick kuelekea Prisons, lakini umakini wa washambuliaji unakosekana na mpira unaokolewa
 
Kimenyaaa anapiga shutiiiii, lakini linashindwa kulenga lango la Simba, ilikuwa hatariiiii lango la Simba
 
Kusema kweli kikosi cha leo sio cha kuchukulia ubingwa mbele ya Prison. tukishinda itakua bahati tu. yaaani kocha kila siku atakują na kikosi kipya.
Huyu kocha wetu siku ambazo mashabiki wa Simba tunakuwa tunategemea kitu Basi ndiyo siku ambazo anatupangia kikosi Cha pressure. Any way let wait and see

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom