Fisidume
Member
- Apr 15, 2019
- 62
- 93
Safi Sana mbao fcHuku CCM Kirumba Mbao anaongoza bao moja dhidi ya Polisi Tanzania dakika ya 77
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi Sana mbao fcHuku CCM Kirumba Mbao anaongoza bao moja dhidi ya Polisi Tanzania dakika ya 77
huu ndo uwezo halisi wa nyau, sema refa akiweka mahaba ndo utaona wanatamba kushinda ila nyau bila refa ni weupe sana
Simba bila msaada wa refa hawana tofauti na CCM bila msaada Wakurugenzi wa Wilaya, Jeshi la Polisi, Tume ya Uchaguzi na Waganga wa Kienyeji!
Hongera sana Mnyama kwa kutetea vyema ubingwa.🏆🏆🏆🏆🎖️🎖️🎖️Simba bingwaa
Siyo vyema kuwajibu malalamiko fc de utopolo kwa kipindi hiki. Morrison kawachanganya, mkwasa kawachanganya, GSM wamewa changanya, molinga kawachanganya, mashabiki pia wamechanganyikiwa so tuwaonee huruma tuTukianza kuongea mnavyobebwa na marefa hamwezi kuficha sura zenu,utopolo mmebaki kwenye kulialia badala ya kubebwa na kupambana,kubebwa ilikuwa zamani mwaka huu kila mtu anakomaa
Kwa hiyo simba akidroo tu basi refa kachezesha vizuri.. ila akishinda kabebwa! Dah aisee nyie kweli utopolo! Na nyie mkifungwa mmeonewa ila mkishinda refa kachezesha vizuri.. dah hawa jamaa zetu kwakweli wakapimwe mkojo😂huu ndo uwezo halisi wa nyau, sema refa akiweka mahaba ndo utaona wanatamba kushinda ila nyau bila refa ni weupe sana
Sisi tumebeba ubingwa sasa nyie bebeni mimba. Nyinyi ambao hamkupata msaada si mngeshinda sasaSimba bila msaada wa refa hawana tofauti na CCM bila msaada Wakurugenzi wa Wilaya, Jeshi la Polisi, Tume ya Uchaguzi na Waganga wa Kienyeji!
Kwa hiyo huyo kiongozi yeye ndo anaecheza uwanjani? Basi ungeshinda mechi zako tuone huyo kiongozi akunyang'anye point. Tatizo lako msimu mzima we unajiandaa kwa ajili ya mechi moja tu ya simba, unasahau kuna kagera sugar😀 unashinda mechi moja unadroo tatu kisha unalia umeonewa.Lengo la kiongozinmmoja wa TIfuatifua limetima eti ilikuwa lazima simba ipate ubingwa mara 3 mfululizo kama Yanga.ameonesha dhahiri shahiri unazi undezi,imebebwa weee hadi kero .yana mwisho.pia yanga imwangalie bosi wao mmoja ni simba yule damudamu anawahujumu humohumo.