Uzuri ni kwamba hata Yanga waliuza mechi, ili mashabiki wa simba wajae uwanjani, mana ninavyowafahamu Yanga wasingefungwa lile goli jepesi kiasi kile.Azam ni bora wasingetokea uwanjani ili ijulikane moja kwa moja walichokipanga. Mpira wanaocheza Azam leo,kabisa walikuwa na matokeo. Mpira wa kibongo uduanzi mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunatafuta mpira uliopigwa na kagere kwenye goli la tatu una rangi ya njano ukiuona toa taarifa kituo chochote cha polisi kilicho karibu yako usije ukaleta madhara kwa raia+ AL AHLY 1
Picha haifunguki [emoji134][emoji134][emoji134]wewe utakuwa upo mkoani insta babe
kama unatumia app haiwez kufunguka ni clip.... nipo hapahapa dar insta babe [emoji23]Picha haifunguki [emoji134][emoji134][emoji134]wewe utakuwa upo mkoani insta babe
Mi bado natafuta mpira uliofungwa na kagere kwenye gori lake la mwishoNa mpira umekwishaaaaaaaaaa
Kila la kheri ShadeeyaSwahiba tuwache. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
KILA LA KHERI AZAM. [emoji126][emoji126][emoji126]
Mtaniiii kwani unateseka [emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hali hii niseme tu zile KHAMSA KHAMSA ni halali kabisa.
Natumia app mm sasa huku kwetu mbona hainyeshikama unatumia app haiwez kufunguka ni clip.... nipo hapahapa dar insta babe [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
USHABIKI MAANDAZIUzi kutoka kwa mzalendo anaeitakia mema ligi kuu ya tanzania bara asipuuzwe
Game ya Azam vs Simba ichunguzwe - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
ni wapi kwani maana inaonekana mmezidi dhambi [emoji23][emoji23][emoji23]Natumia app mm sasa huku kwetu mbona hainyeshi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huku bwanani wapi kwani maana inaonekana mmezidi dhambi [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye ushabiki qa gongowqzi naomba ntake radhi Mara 7 sabini aseehh!!dada angu hivi upo humu.... nimekumiss aisee.... za masiku
usiniambia tu kuwa ww ni mshabiki wa gongo wazi
Sent using Jamii Forums mobile app