Uwanja wa Taifa: Azam FC 1 vs 3 Simba SC

Kuna tofauti kubwa sana kati ya timu ya wananchi na Timu ya nchi...[emoji23]

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
 
Hivi ni lazima ukiwa mshabiki wa yanga uwe pumbavuh? Maana hata akili ndogo hapa haijatumika ku reason. Yaani yanga nanyi mnauza mechi huku mnagombea kuchukua ubingwa?

Sasa wanapouza azam mnashangaa nini? Au mnaamini ninyi peke yenu ndo mna haki ya kuuza mechi?basi nyie ni wapumbavuh sana. Hata kufungwa na simba mnaona ni haki yenu. Akifungwa azam mnajisikia vibaya.

Ni lazima ukiwa mshabiki wa yanga uwe punguwani?uwe hujui kujenga hoja?kama nyie mliuza mechi kwani wenzenu nao hawataki pesa?au ni wivu mnaaamini ninyi tu ndo mnapaswa mfungwe na azam?


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…